Mi bado sipo ktk upande wowote wa taarufa hizi zaidi ya kutafuta ukweli.Mnachofurahisha hamjiulizi why BBC wamefuta [emoji23]. Mmeingizwa chaka lingine! Viwanda vya uongo!
It would be foolish to listen to someone thousands of miles away from Tanzania as a reliable source of information!DAIIIIMMMMMMMNNNNN....LETS MAKE A WISH...
Daily Nation la Kenya limeandika kwa ufasahaDunia nzima ipi? BBC source yao Lissu! Kipi chombo reliable ambacho kimesimamia habari hii kwa their own credible source? Mdogo wangu hii ni another Sabaya scam! [emoji851]
Duh naona leo ID za spare zote kutoka lumumba zinerudi... daah Wo shi niubi, brigadia chan ocha... Sheiza.... n.k leo zipo kazini....Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Hawawezi kueleza kwa shinikizo lako! Vinginevyo watakuwa wanafanyia mashinikizo siku zote.Unanionea unaposema tetesi "zenu". Hakuna mwenye uhakika kama bwana mkubwa amelazwa au hajalazwa. Lakini pia kuna watu ambao wanalipwa mishahara minono kwa kodi zetu ambao wanajukumu la kueleza ukweli kuhusu suala hili.
Jiwe ajitokeze. Sio jambo la kawaida Rais wa nchi kupotea muda wote huo bila Wananchi kujua.Source ya hizi habari ni zile zile financed by mabeberu! Hii itawavua nguo hasa Lissu! Aibu! Aibu!
Ni zero brain wa kiwango cha juu.Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Nini kinasababisha watanzania wasimpende John Pombe Magufuli?Ewaaaaaaaaaaa sasa msishangae jiwe kuchukiwa kiasi hiki na Watanzania walio wengi Chuki kazipanda mwenyewe kwa udhalimu na maovu yake. Sasa anavuna alichopanda.
Siyo kweli, hachukiwi kabisa. Hakuna mtu anayependwa sana hapa Tanzania zaidi ya Magufuli. Haya makelele ni ya watu wachache tu, na wengi wao wanaishi nje ya nchi kama Lissu.Ewaaaaaaaaaaa sasa msishangae jiwe kuchukiwa kiasi hiki na Watanzania walio wengi Chuki kazipanda mwenyewe kwa udhalimu na maovu yake. Sasa anavuna alichopanda.
CHADEMA majanga na kale ka wimbo kao eti Lissu tuvushe. Na leo kweli Lissu kawavusha kwa haka ka project kenu mfu.Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Siyo kweli, hachukiwi kabisa. Hakuna mtu anayependwa sana hapa Tanzania zaidi ya Magufuli. Haya makelele ni ya watu wachache tu, na wengi wao wanaishi nje ya nchi kama Lissu.
Wizi wenu umezibwa, mtajinyea.Nini kinasababisha watanzania wasimpende John Pombe Magufuli?
Wanaolia walie tu. WasitulazimisheMwingine anayeishi nchi za nje huyu hapa ambaye yeye na wazazi wake jiwe aliwaacha homeless pamoja na kuwa kulikuwa na zuio la mahakama kuhusu bomoa bomoa.
Imhotepu upo kaka?Mkuu Ubavu wa Mbuzi ni bei gani huko kwenu nikurushie na yakutolea
Mkuu Ubavu wa Mbuzi ni bei gani huko kwenu nikurushie na yakutolea