Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Mnachofurahisha hamjiulizi why BBC wamefuta [emoji23]. Mmeingizwa chaka lingine! Viwanda vya uongo!
Mi bado sipo ktk upande wowote wa taarufa hizi zaidi ya kutafuta ukweli.

Nimeuliza sijajibiwa kwa fact ukweli ni upi???
 
Dunia nzima ipi? BBC source yao Lissu! Kipi chombo reliable ambacho kimesimamia habari hii kwa their own credible source? Mdogo wangu hii ni another Sabaya scam! [emoji851]
Daily Nation la Kenya limeandika kwa ufasaha
 
Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Duh naona leo ID za spare zote kutoka lumumba zinerudi... daah Wo shi niubi, brigadia chan ocha... Sheiza.... n.k leo zipo kazini....

Mzee za siku?
 
Unanionea unaposema tetesi "zenu". Hakuna mwenye uhakika kama bwana mkubwa amelazwa au hajalazwa. Lakini pia kuna watu ambao wanalipwa mishahara minono kwa kodi zetu ambao wanajukumu la kueleza ukweli kuhusu suala hili.
Hawawezi kueleza kwa shinikizo lako! Vinginevyo watakuwa wanafanyia mashinikizo siku zote.
 
Source ya hizi habari ni zile zile financed by mabeberu! Hii itawavua nguo hasa Lissu! Aibu! Aibu!
Jiwe ajitokeze. Sio jambo la kawaida Rais wa nchi kupotea muda wote huo bila Wananchi kujua.
 
Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
Ni zero brain wa kiwango cha juu.
 
Ewaaaaaaaaaaa sasa msishangae jiwe kuchukiwa kiasi hiki na Watanzania walio wengi Chuki kazipanda mwenyewe kwa udhalimu na maovu yake. Sasa anavuna alichopanda.
Nini kinasababisha watanzania wasimpende John Pombe Magufuli?
 
Ewaaaaaaaaaaa sasa msishangae jiwe kuchukiwa kiasi hiki na Watanzania walio wengi Chuki kazipanda mwenyewe kwa udhalimu na maovu yake. Sasa anavuna alichopanda.
Siyo kweli, hachukiwi kabisa. Hakuna mtu anayependwa sana hapa Tanzania zaidi ya Magufuli. Haya makelele ni ya watu wachache tu, na wengi wao wanaishi nje ya nchi kama Lissu.
 
Kama ilovyokuwa kwa wanna jf wengi humu ndivyo ilivyo kwa jf pia wanasikilizia wakisikia mh.hali imetengemaa huu uzi wanaufuta chap.
Kweli raia mna roho za korosho pamoja na yote haya aliyoyafanya magu bado hamuludhiki.mungu ni wa ajabu Sana wakati unasubilia mwenzako afe ndipo unapokuja kusanuka mpendwa wako kafa
 
Unampendaje mtu mwenye kauli kama hizi? [emoji15][emoji15]
 
Watanzania kweli ni vilaza, hivi Magufuli mnaona ni wa kulazwa Nairobi hospital? Nairobi hospital ina hadhi gani ya kumlaza na Kumtibu Magufuli? uliwahi ona kiongozi yeyote wa Tz analazwa kenya? kweli IQ zetu ziko kwenye mitandao.
CHADEMA majanga na kale ka wimbo kao eti Lissu tuvushe. Na leo kweli Lissu kawavusha kwa haka ka project kenu mfu.
 
Mwingine anayeishi nchi za nje huyu hapa ambaye yeye na wazazi wake jiwe aliwaacha homeless pamoja na kuwa kulikuwa na zuio la mahakama kuhusu bomoa bomoa.
Siyo kweli, hachukiwi kabisa. Hakuna mtu anayependwa sana hapa Tanzania zaidi ya Magufuli. Haya makelele ni ya watu wachache tu, na wengi wao wanaishi nje ya nchi kama Lissu.
 
Maneno meengi lakini pointless. Umesahau matukio ya 2020?? Literaly kuanzia 2015??
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mwingine anayeishi nchi za nje huyu hapa ambaye yeye na wazazi wake jiwe aliwaacha homeless pamoja na kuwa kulikuwa na zuio la mahakama kuhusu bomoa bomoa.

Wanaolia walie tu. Wasitulazimishe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Check out
images.jpg
 
Mkuu Ubavu wa Mbuzi ni bei gani huko kwenu nikurushie na yakutolea

Kahama ni elf5 kwa wasukuma. Ila mi ntamchinja nguruwe wangu tumfanye kitoweo.

Ninayo mafungu kadhaa ya konyagi kuubwa ile yenye picha ya mwanamke. Faru fausta sio faru jon tena.
Tutajitenga kabisa ili kuepuka covid au nasema uongo ndugu yangu😁😁😁😁🤗🤗🤗🤗🤗
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom