Mficha ficha maradhi, mwisho kilio kitamuumbua.Mficha maradhi.
But I’m holding on something.
andika kwa kisukuma, ikitokea akasoma hapa hamna atakachoelewa!He should stop mask-shaming people.
Inategemea mkuu. Mtu anayezunguka dunia kutafuta tiba, bila shaka hali yake ni nzito zaidi ya hao uliokwishaona wanatibiwa na kurudia hali nzuri .Kwani we umekuwa Mungu? Watu wanapata matatizo zaidi ya hiyo cardiac attack na wanarudi hali yao kama kawaida. Sisi tunamuombea Rais wetu apone.
Nafsi yake mwenyewe inaomba mgonjwa asiamke.
Mmempiga lisasi alafu mmemuonea huruma dah!!Lissu alipopata matatizo watanzania wote tulimwonea huruma. Lakin yeye kumbe hana huruma kabisa. Hana ubinadamu.
Hivi kuuliza rais alipo ni kuichafua nchi? Kuna wakati mwingine kujifanya unajua kila kitu hupelekea mtu kuonekana limbukeni.View attachment 1722460
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba amemjibu Mwanasheria mkuu wa CHADEMA ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Tundu Lissu na kumuonya vikali kwa kitendo cha kuulizia alipo Rais Magufuli na kama yupo salama kupitia mitandao ya kijamii. Dkt. Mwigulu amenukuu vifungu vya sheria vilivyovunjwa na Mh. Tundu Lissu na kusisitiza kuwa sheria inapovunjwa hakuna mipaka wala muda kupita. Aidha Dkt. Mwigulu amewaonya waropokaji wote kuzingatia sheria na kwamba serikali ipo kazini.
Dkt. Mwigulu alisema hayo kupitia mtandao wa instagram ambapo ameandika "Kiongozi wa Nchi sio Parishworker Kanisani wala sio Mzee wa Kanisa kwamba alipangiwa zamu na hakuonekana!, Kiongozi wa Nchi Sio Mtangazaji wa TV kwamba alikuwa na kipindi Ila hakuonekana! Kiongozi wa Nchi sio kiongozi wa jogging clubs kwamba anatakiwa kuwa tu mtaani kila siku na kurusha selfie. TUACHE UPUUZI UPUUZI HATA KAMA HATUNA JAMBO LA KUFANYA. Umeichafua sana nchi umeshindwa, mmetamani tukwame mmeshindwa,Sasa mnaombea mabaya nchi yetu na Kiongozi wa Nchi yetu. SHERIA YEYOTE INAPOVUNJWA, HAKUNA CHA MIPAKA, WALA HAKUNA CHA MUDA KUPITA. KWA WANAOROPOKA ZINGATIENI KIFUNGU CHA 89 cha Penal code na 16 cha Cyber Crime, SERIKALI IPO KAZINI"
Hata hivyo Mh. Tundu Lissu ameonekana kukaidi onyo hilo na kuendelea kusambaza taarifa ambazo hazijathibitishwa na mamlaka husika kupitia mtandao wa Twitter.
Hii inaitwa shut your mouth up b4 I disclose you.Kwa maelezo na majibu ya tundu lissu naona kama vile waziri kaachwa mtupu kwa mwajili wake
Mh waziri hana sababu ya kuwa mkali kwa maneno mengi. TL ataaibika ikiwa raisi ataonekana akiendelea na majukumu.
Ubaya hujawahi kuwa kiongozi.The radio silence is not cool at all.
Somebody in the know say something, please.
Mtakaa kimya mpaka lini? Kwani kama mtu anaumwa, huko kuumwa ni jambo la ajabu sana, au? Binadamu gani ambaye huwa haumwi?
Kama mtu amekufa, napo nini cha ajabu? Nani ambaye hatakufa?
Cut this ridiculous nonsense of radio silence. It’s gone on for too long now. And yes, even a single day is one too many!
What’s there to hide that is so bad?
Stop making our country live up to the label of a banana republic.
What will you lose if you tell us what is going on?
A bruised ego? An injured pride? A blown cover of a macho facade?
If he is sick, so be it. We all get sick.
If he is dead, oh well! It is what it is. It’s a guaranteed fate that will befall all of us.
Matter of fact, it [death] is the single greatest equalizer for humankind. It is no respecter of persons.
It’s like he has resolved that his ego is his hill to die on.
I remember I once said that his ego was not his amigo.
This is some weird shit. For days now we’ve been dealing with a maelstrom of confusion about his whereabouts.
And they think that is OK? WTF!!!!
Mr. President sir, listen to me. You are not a superman. You are a mere mortal just like the rest of us.
I don’t know what is going on with you. Maybe you are sick or maybe you are not.
Whatever the case may be, you owe us a word. Unless, you enjoy and are proud of leading a banana republic.
Wherever you are...whatever you are dealing with, my hope is you pull through.
After you pull through, a wee bit of introspection won’t hurt....
Now say something...
Lissu alipopata matatizo watanzania wote tulimwonea huruma. Lakin yeye kumbe hana huruma kabisa. Hana ubinadamu.
View attachment 1722460
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba amemjibu Mwanasheria mkuu wa CHADEMA ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Tundu Lissu na kumuonya vikali kwa kitendo cha kuulizia alipo Rais Magufuli na kama yupo salama kupitia mitandao ya kijamii. Dkt. Mwigulu amenukuu vifungu vya sheria vilivyovunjwa na Mh. Tundu Lissu na kusisitiza kuwa sheria inapovunjwa hakuna mipaka wala muda kupita. Aidha Dkt. Mwigulu amewaonya waropokaji wote kuzingatia sheria na kwamba serikali ipo kazini.
Dkt. Mwigulu alisema hayo kupitia mtandao wa instagram ambapo ameandika "Kiongozi wa Nchi sio Parishworker Kanisani wala sio Mzee wa Kanisa kwamba alipangiwa zamu na hakuonekana!, Kiongozi wa Nchi Sio Mtangazaji wa TV kwamba alikuwa na kipindi Ila hakuonekana! Kiongozi wa Nchi sio kiongozi wa jogging clubs kwamba anatakiwa kuwa tu mtaani kila siku na kurusha selfie. TUACHE UPUUZI UPUUZI HATA KAMA HATUNA JAMBO LA KUFANYA. Umeichafua sana nchi umeshindwa, mmetamani tukwame mmeshindwa,Sasa mnaombea mabaya nchi yetu na Kiongozi wa Nchi yetu. SHERIA YEYOTE INAPOVUNJWA, HAKUNA CHA MIPAKA, WALA HAKUNA CHA MUDA KUPITA. KWA WANAOROPOKA ZINGATIENI KIFUNGU CHA 89 cha Penal code na 16 cha Cyber Crime, SERIKALI IPO KAZINI"
Hata hivyo Mh. Tundu Lissu ameonekana kukaidi onyo hilo na kuendelea kusambaza taarifa ambazo hazijathibitishwa na mamlaka husika kupitia mtandao wa Twitter.
Ni risasi na siyo "lisasi" ×Mmempiga lisasi alafu mmemuonea huruma dah!!
"Akili ndogo uzia"
True. Hakuna haja ya maneno mengi yasiyojibu swali la raisi alipo.Tatizo sie watz tunadili na ishu ndogondogo sasa wao wanaulizia yupo wapi kiongozi wao simpo jibuni alipo sio kuanza mambo ya sheria mara uvunjifu wa amani sijui ndio mheshimiwa kajibu hivo.. anyway tuendelee kusaka mahela kwa ajili ya familia zetu
Hii naiscreenshotNitamkanusha Lissu iwapo Rais atajitokeza hadharani na kukemea uzushi
Nitaondoa avatar maramoja