Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Wewe naye mediocre kila mtu anayemkosoa Tundu Lissu kwa upuuzi wake ni Mwigulu Nchemba! Kojoa ulale bado hakuja kucha uende shule!

Mkuu mbona hivyo? Maturity yako iko wapi basi? Hata kama umechukia jombi ya kuchimba dawa tena yanatokea wapi? Tumkemee pepo mchafu huyu anayetuzunguka. Kemea pepo, au nasema uongo ndugu zangu?
 
Rais ni taasisi na kama taasisi wenye taasisi wana haki nayo. Kupata taarifa mbaya au nzuri. Watanzania wanataka taarifa ya John Pombe Magufuli ambaye ni taasisi na sisi vinginevyo.
 
Nilidhani una akili kumbe wewe naye ni mbulula tu! Umeshindwa hata kufanya simple research ya past threads zangu kujua kama mimi Fumadilu Kalimanzila na huyo bwana yako uliyemng'ang'ania Mwigulu ni watu tofauti!
 
Lissu alipopata matatizo watanzania wote tulimwonea huruma. Lakin yeye kumbe hana huruma kabisa. Hana ubinadamu.

Alipopatiwa matatizo ebo, ebu rekebisha kwanza ndio tuanze mjadala.
 
Hii inaitwa shut your mouth up b4 I disclose you.

Je, yeye kama mtu mzima hakuliona hilo kweli? Au Lissu kaamua kumpakazia na vipi kama Lissu ana ushahidi wa maneno siri waliyoongea? Isije kuwa mdomo huponza kichwa?
 
Lissu kamwambia wazi kati ya watu wanaotamani mkuu asirudi hai ni pamoja na yeye Mwigulu watch out.

“Najua unashukuru Mungu amepelekwa India akiwa comatose, na unaomba asirudi!”. Lissu. Short and clear.
 
Kwako revenge nzuri ni ipi ya mdomo au ya risasi.
A strong revenge, sio maneno wala risasi. Ni kusamehe na kusonga mbele. Ukianza kujishugulisha na kisasi, umepoteza focus yako. Kuwa kiongozi unatakiwa kuwa model kwa watu.
 
Ni kweli, ila tetesi za mara hii zinaaminika zaidi, hasa kwa sababu zimeenea dunia nzima sasa!

Kuenea dunia nzima hakufanyi kitu kuwa kweli. Hundred of thousands waliamini mwaka 2000 ni mwisho wa dunia ila hadi leo tunadunnda.
 
Mkuu kwani Lissu kafanya lipi la kukufanya wewe kukosa natural maturity kiasi cha kukufanya wewe kuwa prosecutor na hakimu kumhukumu kuwa yeye ni mediocre na kuwa anafanana na hao uliowataja?

Kwani hao uliowataja nao wamekufanyia nini au wamemfanya nani nini wewe kuwa na mtazamo hasi hivyo juu yao?

Kwanini hata kuwatendea hivyo hao uliowataja? Kwani unakutana kutana nao wapi kiasi cha wewe kuwa na mawazo ya chuki kali kama yako?

Mbona hivyo bandugu?

Kemea pepo!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom