Wewe naye mediocre kila mtu anayemkosoa Tundu Lissu kwa upuuzi wake ni Mwigulu Nchemba! Kojoa ulale bado hakuja kucha uende shule!
Lissu alipopata matatizo watanzania wote tulimwonea huruma. Lakin yeye kumbe hana huruma kabisa. Hana ubinadamu.
Matatizo mliyomletea wenyeweLissu alipopata matatizo watanzania wote tulimwonea huruma. Lakin yeye kumbe hana huruma kabisa. Hana ubinadamu.
Hii inaitwa shut your mouth up b4 I disclose you.
You forget what you write!!!Umejawa na chuki hadi hujui nani alisema nini na alisema wapi!
Wapi nilisema Corona haipo Tanzania?
Onyesha hata sentensi moja tu ya mimi kusema corona haipo Tanzania...
A strong revenge, sio maneno wala risasi. Ni kusamehe na kusonga mbele. Ukianza kujishugulisha na kisasi, umepoteza focus yako. Kuwa kiongozi unatakiwa kuwa model kwa watu.Kwako revenge nzuri ni ipi ya mdomo au ya risasi.
Ana upeo mdogo sana!Niliposema Antipasu siyo "presidential material" mlidhani nawadanganya ?
Ni kweli, ila tetesi za mara hii zinaaminika zaidi, hasa kwa sababu zimeenea dunia nzima sasa!