Kweli kila mmoja wetu katika nyanja mbali mbali ana kisasi juu ya huyu mtu, lakini Bado anabaki kua binadamu Kama sisi mwe familia na watu wanaomtegemea, Ni vizuzi tungeacha alipwe kadiri ya anavyostahili na sio kwa namna ya posti zilizopo kwenye thread hii .Watu Wana visasi kama vya waarabu, wanalipiza mpka kwa vitukuu
Kuna niniFungueni TBC
Viongozi wa serikali ndio mafisadi siku hizi.Jinsi navyompenda rais.. namuombea awe mzima muda wote.. mafisadi watatamba sana kama zamani
Kwani Tanzania kuna Corona? Vipi umepagawa leo au umeanza kuwa kibaraka wa mabeberu kuichafuwa nchi?Mnaotaka kujua Raisi yuko wapi
Yuko kwenye maombi ya siku 40 ya kwaresma kuombea nchi iondokane na Corona .Kama alivyobeba hilo jukumu kipindi cha Corona awamu ya kwanza sasa kaingia maombi awamu ya pili ya kuishinda Corona round hii ya pili.
Waombaji tuungane naye na katika hizi siku 40 za mfungo wa kwaresma tutaibuka washindi sisi na Mungu wetu .Migani na isiyoamini Mungu itabaki midomo wazi na itajua kuwa Yulo Mungu wa Tanzania aliye tofauti na miungu wa nchi zingine.Wa Tamzania ana nguvu kubwa ya kuipiga mateke Corona nje
Yupo Buheri wa Afya!Wewe unawaelewa hawa? View attachment 1722686View attachment 1722687
Hawa wanamaanisha nn jamani jamanii!Wewe unawaelewa hawa? View attachment 1722686View attachment 1722687
Achana na huyo,ni fundi Chuma tu hapa Tz,hivyo hawezi kuwa na taarifa yoyote ambayo ni confidential.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Bwashee unataka kumaanisha nini?Wewe unawaelewa hawa? View attachment 1722686View attachment 1722687
Porojo dot com.Kuna nini
Babu Tale kakimbia shule, hawa wawili ni University level with masters degree. Up stairs wapo vizuri wanajielewa.Bwashee unataka kumaanisha nini?
Weka na ya babu Tale!
π π π π πMara paap! Chuma hiki hapa!! Tutapata taabu sanaaaa
Da!!! Kuna mtu alisema safari hii hataki kuongea mapema aje kulaumiwa baadae, maana chuma anatabia ya kuzinduka.Mara paap! Chuma hiki hapa!! Tutapata taabu sanaaaa
Si kila mtu unamfanyia UTUJifunzeni kubakiza hakiba ya maneno - sasa comments zako tuziiteje, je, nikumsifia JPM, kumkejeri or both - wa kale walisema kama huna jambo jema la kumsema binadamu mwenzako ni busara ukakaa kimya, kukejeri mtu mgonjwa ni ukosefu wa UTU.
Saivi Tanzania na north Korea ni sawa ki utawala?North Korea rais hakuonekana miezi miwili ,siyo lazima aonekane kila siku rais
Naweza tu kukuambia wewe tulia tuendelee kumuombea He is in good health.Naomba iwe hivyo kwani kuondoka kwake muda huu itakuwa ni huzuni kubwa kwetu na ushindi wa mabeberu na hasa kuhusiana na mambo ya corona.Watakuja kutuuzia madawa na kutuchanja kwa lazima.
Kama una ushahidi na hilo ningependa adhabu yake iwe kwa namna nyengine na bora baada ya kipindi chake cha 2 cha uraisi.Kwa sasa namuombea uzima na siha nzuri azidi kutujengea madaraja ya juu kwa juu.