Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Watu Wana visasi kama vya waarabu, wanalipiza mpka kwa vitukuu
Kweli kila mmoja wetu katika nyanja mbali mbali ana kisasi juu ya huyu mtu, lakini Bado anabaki kua binadamu Kama sisi mwe familia na watu wanaomtegemea, Ni vizuzi tungeacha alipwe kadiri ya anavyostahili na sio kwa namna ya posti zilizopo kwenye thread hii .
 
Mnaotaka kujua Raisi yuko wapi

Yuko kwenye maombi ya siku 40 ya kwaresma kuombea nchi iondokane na Corona .Kama alivyobeba hilo jukumu kipindi cha Corona awamu ya kwanza sasa kaingia maombi awamu ya pili ya kuishinda Corona round hii ya pili.

Waombaji tuungane naye na katika hizi siku 40 za mfungo wa kwaresma tutaibuka washindi sisi na Mungu wetu .Migani na isiyoamini Mungu itabaki midomo wazi na itajua kuwa Yulo Mungu wa Tanzania aliye tofauti na miungu wa nchi zingine.Wa Tamzania ana nguvu kubwa ya kuipiga mateke Corona nje
Kwani Tanzania kuna Corona? Vipi umepagawa leo au umeanza kuwa kibaraka wa mabeberu kuichafuwa nchi?
 
Jifunzeni kubakiza hakiba ya maneno - sasa comments zako tuziiteje, je, nikumsifia JPM, kumkejeri or both - wa kale walisema kama huna jambo jema la kumsema binadamu mwenzako ni busara ukakaa kimya, kukejeri mtu mgonjwa ni ukosefu wa UTU.
Si kila mtu unamfanyia UTU
 
Alipumzika zaidi ya mwezi mzima kwao chato mkamwaga maneno Watanzania bhana sijui Ni kwasababu ya kukosa kazi ama kweli ukikosa kazi ya halali shetani atakupatia kazi
 
Simba inapaswa wajisahihishe makosa yao kutokana na mechi ya Jana na Prison.

Tunategemea watakuwa wamejifunza mapungufu yao ili mechi ya marudiano na Almerekh ya Sudani tujihakikishie ushindi.

Ushindi ni lazima, lkn hatuwezi kupata ushindi bila maandalizi, mbinu na mikakati.
 
Naomba iwe hivyo kwani kuondoka kwake muda huu itakuwa ni huzuni kubwa kwetu na ushindi wa mabeberu na hasa kuhusiana na mambo ya corona.Watakuja kutuuzia madawa na kutuchanja kwa lazima.

Kama una ushahidi na hilo ningependa adhabu yake iwe kwa namna nyengine na bora baada ya kipindi chake cha 2 cha uraisi.Kwa sasa namuombea uzima na siha nzuri azidi kutujengea madaraja ya juu kwa juu.
Naweza tu kukuambia wewe tulia tuendelee kumuombea He is in good health.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom