Duh katibu mkuu wa CCM anaapishwa?Tarifa kwa umma.
Leo hii raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanian dk John Joseph Pombe Magufuli, anatarajia kumwapisha katibu mkuu wa chama cha mapinzi (CCM) ndugu Halfrey Polepole.
Nimesoma sehemu. Magu yupo chattle wakuu[emoji16][emoji16][emoji16] amejua kutuaibisha huyu mwamba. Sasa badala ya mitano iwe mikumi tena.[emoji1][emoji1][emoji1] mmemsema sana wiki hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu lini Katibu Mkuu wa CCM akaapishwa??Tarifa kwa umma.
Leo hii raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanian dk John Joseph Pombe Magufuli, anatarajia kumwapisha katibu mkuu wa chama cha mapinzi (CCM) ndugu Halfrey Polepole.
Nimesoma sehemu. Magu yupo chattle wakuu[emoji16][emoji16][emoji16] amejua kutuaibisha huyu mwamba. Sasa badala ya mitano iwe mikumi tena.[emoji1][emoji1][emoji1] mmemsema sana wiki hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee yupo likizo. Sijawahi kumsikia akichukua likizo, na hiyo ni haki yake ya kupumzika hasa baada ya kampeni kali ya kuhakikisha wana- CCM wote ( wenye viti wa mitaa, madiwani, wabunge na rais) wanashinda. Na kuteua mawaziri, na kupangua kidogo safu ya juu ya chama.Rais ni Superman. Akiumwa chochote anaponyeshwa literally on the spot in milliseconds. He is just taking some time off kama JK alivyokuwa akichukua breaks kwenye 5-star resorts.
Tangu lini Katibu Mkuu wa CCM akaapishwa??
Kuna mtu kakuomba kazi humu?Vijana fanyeni kazi hii nchi hamuijui inavyoendeshwa, hao walio nje ya nchi watawaponza, mtazolewa wote mwende segerea kwasababu za kipuuzi kabisa
Familia yako ndio itapata shida narudia tena familia yako ndio itapata shida
NB: Ikumbuke sheria ya mtandao halafu tafakari unachokiandika humu.
Sijui lolote😆😆😆Duh katibu mkuu wa CCM anaapishwa?
wapi nimeandika naajili?Kuna mtu kakuomba kazi humu?
Msichokijua ni kwamba ,kama hizo habari za kuwepo kwa watu wasiojulikana ni mpango wa CCM,basi hata akiondoka huyu bado hamtaweza kuwagusa kwakua hawakua chini ya mtu mmoja bali ni system ambayo hata yule atakaechukua nafasi yake atazidi kuilinda.Wasiojulikana matumbo joto.Mmetumika kondomu jangwani hakuna kivuli.
Achana nao mkuu,hicho ndicho ambayo akili zao na mioyo yao inawaza,huku wakujinasibu kuwa ni watu wa amani na haki.kama ni mgonjwa inapaswa kumuombea sana na si vizuri kufurahia mwenzako akiumwa mungu huyarudisha kwako na familia yako ili uone machungu
Ndugu zangu watanzania, kama ni kweli Rais yuko Hospitali Nairobi, cha kufanya watanzania ni kumuombea. Yeye ni rais wa nchi yetu, tupende au tusipende. Tumpende au tusimpende.
Kama wewe una habari za tetesi kuwa anaumwa, basi busara ni kumuombea kimyakimya, sasa kama tukianza kuingia kwenye mtego wa wenzetu wanaotumiwa kuanza kumuombea mabaya rais wetu hii sio busara kabisa.
BBC wameondoa ule uzushi kwenye website yao.
Wameipoza sana na imefichwa kwa aibu. Utapeli upo kila mahali hata kwenye habari.Mbona ipo hiyo habari hadi sasa
Asee hongera yakeTarifa kwa umma.
Leo hii raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanian dk John Joseph Pombe Magufuli, anatarajia kumwapisha katibu mkuu wa chama cha mapinzi (CCM) ndugu Halfrey Polepole.
Nimesoma sehemu. Magu yupo chattle wakuu[emoji16][emoji16][emoji16] amejua kutuaibisha huyu mwamba. Sasa badala ya mitano iwe mikumi tena.[emoji1][emoji1][emoji1] mmemsema sana wiki hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utafanya buena maana anapenda kuombewaMwenye haki ataishi miaka mingi, utaishi hiyo miaka 100 mkuu na mm ninakuombea.
Huyu mdhalimu wanayemshabikia atateketea kama yateketeavyo makapi.
Ubinadamu kazi ,nimesoma comments huku nimechoka kabisa.