Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Lisu anaendelea kujivua chupi mbele ya hadhara.
Magufuli huyo zake chato akimuapisha Katibu mkuu mpya wa CCM.

Nb. Lissu ana ndoto za kua Rais wa Tanzania lakini hata timiza ndoto zake.

Nawashauri watanzania wenzangu tumpuuze.

Katibu mkuu wa CCM siku hizi huwa anaapa?
 
Mzee wangu nakuheshimu sana na ninaungana na wewe watoe taarifa Kama anaumwa ila sioni kuwa ni sahihi ikiwa haumwi watoe taarifa kwa ajili ya kujibu tuhuma maana hawa wapuuzi wamekua wakizusha sio Mara moja wala mbili ni kawaida yao, je unaona ni sahihi kuwajibu hivo tuhuma zao ovu kila Mara?
mnachoshindwa kutambua kwa sasa sio kama anazushiwa tu na wapinzani hii ni habari kote duniani kwa sasa,tambua kuwa rais ni nembo ya nchi,rais ni wa watanzania wakiwamo wapinzani,Rais si wa wanaompigia makofi tu ni rais wetu sote kama watanzani, hivyo raia wana haki kujua yuko wapi.
 
Wameipoza sana na imefichwa kwa aibu. Utapeli upo kila mahali hata kwenye habari.
Na hii nayo mbona bado ina trend?
Someni hiyo.

Acheni UNOKOView attachment 1722799

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Gazeti la The Nation Kenya haliwezi kuwa ndo kipimo cha ukwell au uongo wa habari za Kuumwa au kutoku umwa kwa Rais. Kinachotakiwa hapa ni Serkali yenyewe ifanye vitu 2

(1)....Msemaji wa aidha Ikulu au Serikali ajitokeze mbele ya media kukanusha uvumi huu.
(2)....Magufuli mwenyewe ajitokeze aongee na Watz kuondoa sintofahamu hii.

Vingenevo Watz wataendelea kuamini kuwa kuna ukwell pampa na The Nation kukanusha. Rais siyo lazima akalazwe Kenya. Nchi ziko nyingi na Hospitals za kitaifa na Kimataifa ziko lukuki tu.
 
mnachoshindwa kutambua kwa sasa sio kama anazushiwa tu na wapinzani hii ni habari kote duniani kwa sasa,tambua kuwa rais ni nembo ya nchi,rais ni wa watanzania wakiwamo wapinzani,Rais si wa wanaompigia makofi tu ni rais wetu sote kama watanzani, hivyo raia wana haki kujua yuko wapi.

Huko UK nako wanasema hayohayo!

 
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?

Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.

Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.

Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Kutoka kuwa chama cha siasa na kuwa kikundi cha kutafuta wagonjwa na vifo ili kuutangazia umma
 
Rais wetu ni binadamu, hata kama kweli anaumwa ndio ukamilifu wa ubinadamu wake, nadhani tufanye kazi tuache kuhusika na habari zisizo na chanzo rasmi . Aliumwa Mkapa, aliumwa na Kikwete. Kikwete alipo rudi ndio alitupa habari nini kilimsibu... tubaki kua watanzania na kuiombea nchi yetu.

huu uongo unawasaidia nini.???

Kikwete alipoumwa tulipewa taarifa akiwa kulekule hospital, na akatoa namba ya simu ya kwake binafsi ili waTZ wamtumie salamu za pole, na tukaoneshwa picha akiwa kitandani baada ya operation huku akijib mesej za wananchi wake., siku aliyorudi aliita vyombo vya habari palepale airport akaelezea kila kitu..

Mkapa alipoumwa tulipewa taarifa akiwa kulekule uswizi alipokuwa anatibiwa nyonga..

kwa JPM watu wapo kimya, hawatoi taarifa wala hawakanushi, mimi binafsi namuombea sana uhai ili akamilishe hii miradi, hivyo kama anaumwa (Mungu asimame upande wake na amponye)..

lakini kwanini hatuambiwi.? kwanini kila anayehoji anatukanwa.?? kwani kuumwa kwa binadamu ni tatzo .???
 
huu uongo unawasaidia nini.???

Kikwete alipoumwa tulipewa taarifa akiwa kulekule hospital, na akatoa namba ya simu ya kwake binafsi ili waTZ wamtumie salamu za pole, na tukaoneshwa picha akiwa kitandani baada ya operation huku akijib mesej za wananchi wake., siku aliyorudi aliita vyombo vya habari palepale airport akaelezea kila kitu..

Mkapa alipoumwa tulipewa taarifa akiwa kulekule uswizi alipokuwa anatibiwa nyonga..

kwa JPM watu wapo kimya, hawatoi taarifa wala hawakanushi, mimi binafsi namuombea sana uhai ili akamilishe hii miradi, hivyo kama anaumwa (Mungu asimame upande wake na amponye)..

lakini kwanini hatuambiwi.? kwanini kila anayehoji anatukanwa.?? kwani kuumwa kwa binadamu ni tatzo .???

Tanzania kuna upuuzi na ujinga mwingi sana.
Kuna mijitu inamwona Magufuli kama "kimungu mtu" fulani hivi....!!!!!
Haugui, hasemwi,hakosolewi,hashauriki,haambiliki!!! Yeye ni kila kitu, yeye ndiye mwenye uweza wote na haogopi chochote, si COVID-19 wala kifo!! Ni Rais wa ajabu kuwahi tokea katika Sayari hii ya dunia........!!!!
 
Na hii nayo mbona bado ina trend?

Gazeti la The Nation Kenya haliwezi kuwa ndo kipimo cha ukwell au uongo wa habari za Kuumwa au kutoku umwa kwa Rais. Kinachotakiwa hapa ni Serkali yenyewe ifanye vitu 2

(1)....Msemaji wa aidha Ikulu au Serikali ajitokeze mbele ya media kukanusha uvumi huu.
(2)....Magufuli mwenyewe ajitokeze aongee na Watz kuondoa sintofahamu hii.

Vingenevo Watz wataendelea kuamini kuwa kuna ukwell pampa na The Nation kukanusha. Rais siyo lazima akalazwe Kenya. Nchi ziko nyingi na Hospitals za kitaifa na Kimataifa ziko lukuki tu.
MMEFELI TENA MTIHANI CHADEMA SUBIRINI BAADA YA MIAKA 1000 KUITAWALA TANZANIA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom