Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Unajua alipo?Sababu alisema Korona sio ugonjwa na nyungu inatosha sasa inakuwaje aliekuwa anainadi nyungu kukimbilia hospital
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Lisu anaendelea kujivua chupi mbele ya hadhara.
Magufuli huyo zake chato akimuapisha Katibu mkuu mpya wa CCM.
Nb. Lissu ana ndoto za kua Rais wa Tanzania lakini hata timiza ndoto zake.
Nawashauri watanzania wenzangu tumpuuze.
Ni wapi niliandika kuwa corona haipo Tanzania?You forget what you write!!!
mnachoshindwa kutambua kwa sasa sio kama anazushiwa tu na wapinzani hii ni habari kote duniani kwa sasa,tambua kuwa rais ni nembo ya nchi,rais ni wa watanzania wakiwamo wapinzani,Rais si wa wanaompigia makofi tu ni rais wetu sote kama watanzani, hivyo raia wana haki kujua yuko wapi.Mzee wangu nakuheshimu sana na ninaungana na wewe watoe taarifa Kama anaumwa ila sioni kuwa ni sahihi ikiwa haumwi watoe taarifa kwa ajili ya kujibu tuhuma maana hawa wapuuzi wamekua wakizusha sio Mara moja wala mbili ni kawaida yao, je unaona ni sahihi kuwajibu hivo tuhuma zao ovu kila Mara?
Na hii nayo mbona bado ina trend?Wameipoza sana na imefichwa kwa aibu. Utapeli upo kila mahali hata kwenye habari.
Gazeti la The Nation Kenya haliwezi kuwa ndo kipimo cha ukwell au uongo wa habari za Kuumwa au kutoku umwa kwa Rais. Kinachotakiwa hapa ni Serkali yenyewe ifanye vitu 2
Aliyekuwa anakwenda Mbeya kwa nini karudi Dodoma!?
mnachoshindwa kutambua kwa sasa sio kama anazushiwa tu na wapinzani hii ni habari kote duniani kwa sasa,tambua kuwa rais ni nembo ya nchi,rais ni wa watanzania wakiwamo wapinzani,Rais si wa wanaompigia makofi tu ni rais wetu sote kama watanzani, hivyo raia wana haki kujua yuko wapi.
Kutoka kuwa chama cha siasa na kuwa kikundi cha kutafuta wagonjwa na vifo ili kuutangazia ummaYaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?
Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.
Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Rais wetu ni binadamu, hata kama kweli anaumwa ndio ukamilifu wa ubinadamu wake, nadhani tufanye kazi tuache kuhusika na habari zisizo na chanzo rasmi . Aliumwa Mkapa, aliumwa na Kikwete. Kikwete alipo rudi ndio alitupa habari nini kilimsibu... tubaki kua watanzania na kuiombea nchi yetu.
Ka! tunasimangwa kama ngedele,aah Mungu apishie mbali hili.
huu uongo unawasaidia nini.???
Kikwete alipoumwa tulipewa taarifa akiwa kulekule hospital, na akatoa namba ya simu ya kwake binafsi ili waTZ wamtumie salamu za pole, na tukaoneshwa picha akiwa kitandani baada ya operation huku akijib mesej za wananchi wake., siku aliyorudi aliita vyombo vya habari palepale airport akaelezea kila kitu..
Mkapa alipoumwa tulipewa taarifa akiwa kulekule uswizi alipokuwa anatibiwa nyonga..
kwa JPM watu wapo kimya, hawatoi taarifa wala hawakanushi, mimi binafsi namuombea sana uhai ili akamilishe hii miradi, hivyo kama anaumwa (Mungu asimame upande wake na amponye)..
lakini kwanini hatuambiwi.? kwanini kila anayehoji anatukanwa.?? kwani kuumwa kwa binadamu ni tatzo .???
Hii nguvu ya kununua mambo haya pesa inatumika hiihii ya watanzania?
Tangu kifo cha Nkurunzizah Burundi imebadili mtazamo wake katika janga la covid.Je ni halali kuzuia watu wengine tena wenye nchi yao kupata huduma kwa ajili ya mtu mmoja tu tena mgeni ambaye hajulikani alikotoka ?
....sijui ndio maana tunataka ajitokezeUnajua alipo?
MMEFELI TENA MTIHANI CHADEMA SUBIRINI BAADA YA MIAKA 1000 KUITAWALA TANZANIANa hii nayo mbona bado ina trend?
Gazeti la The Nation Kenya haliwezi kuwa ndo kipimo cha ukwell au uongo wa habari za Kuumwa au kutoku umwa kwa Rais. Kinachotakiwa hapa ni Serkali yenyewe ifanye vitu 2
(1)....Msemaji wa aidha Ikulu au Serikali ajitokeze mbele ya media kukanusha uvumi huu.
(2)....Magufuli mwenyewe ajitokeze aongee na Watz kuondoa sintofahamu hii.
Vingenevo Watz wataendelea kuamini kuwa kuna ukwell pampa na The Nation kukanusha. Rais siyo lazima akalazwe Kenya. Nchi ziko nyingi na Hospitals za kitaifa na Kimataifa ziko lukuki tu.
Sasa mbona umedai kakimbilia Nairobi?
Sasa scenario ya utawala wa Hitler inarelate vipi na hii,au ndo najadili hoja na mtoto wa history form3?Uliza wale wa Hitler walikua kujulikanaje...!!?
Sasa mbona umedai kakimbilia Nairobi?