Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Amesema baada ya kutoka India akarudishwa fasta Ikulu then akapelekwa Mzena State Hosp. πUmezipanga vibaya hizo ep,
Ya kwanza umeambiwa ni
1 Ikulu
2 msenza
Hajasema but rumours zinadai ni
3 Nairibeeeee
4 Mumbai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ep ya 5 bado, huenda ni chato[emoji1787]
Ondoa shaka tuombe Mungu atupatie uzima mimi na wewe,tushuhudie kwa pamojaNi vyema kama umelijua hilo, lakini Sasa tusubiri nini wakati hujui hata kama kesho utaifikia?
Mkate wa ubadhirifu, rushwa, ufisadi, na ukibaraka wa mabeberu aliowapokonya mdomoni mwao unawatesa sana.Magufuli anapendwa na wengi Africa.
Wale mnamtakia mabaya hata sjui mna maana gani.
The best president Tanzania imepata.
Kama hutishiki na ka-Corona nenda uone makaburi ya marehemu wafuatao:Kakorona kasitutishe.....
Unanufaika na mfumo tackle ww..Magufuli anapendwa na wengi Africa.
Wale mnamtakia mabaya hata sjui mna maana gani.
The best president Tanzania imepata.
Nimegundua wewe ndiye huna busara ^car-bee-sir!^ Utaniitaje hivyo na kumwacha kibaraka wa Bob Amsterdam kama huyu Sky Eclat !???Unaonekana huna busara. Uzuri ni kwamba unamuombea mema raisi, ila busara huna.
Conversations kama hizi bado utakuwa kuna watu wanaLike na KuLove ,Kulikoni?Kahama ni elf5 kwa wasukuma. Ila mi ntamchinja nguruwe wangu tumfanye kitoweo.
Ninayo mafungu kadhaa ya konyagi kuubwa ile yenye picha ya mwanamke. Faru fausta sio faru jon tena.
Tutajitenga kabisa ili kuepuka covid au nasema uongo ndugu yanguπππππ€π€π€π€π€
Mambo ya busara tuachane nayo. Tujikite kwenye kumuombea raisi mema.Nimegundua wewe ndiye huna busara ^car-bee-sir!^ Utaniitaje hivyo na kumwacha kibaraka wa Bob Amsterdam kama huyu Sky Eclat
Acha siasa, Tz inaongoza kwa wingi wa majengo lakini inayoongoza kwa huduma bora ni Kenyahata mimi tu nikiumwa kwa sasa siwezi kukimbilia kutibiwa kenya, maaana Tanzania kwa sasa hudumu za afya zinazo tolewa ni za kiwango cha hali ya juu kuliko hata kenya wala uganda.
Ktk Afrika mashariki na kati Tanzania ndio nchi pekee inayo ongoza kwa huduma za Afya bora.
Tanzania bado ni nchi ambayo haina maambukizi mengi ya korona.
Mkate wa ubadhirifu, rushwa, ufisadi, na ukibaraka wa mabeberu aliowapokonya mdomoni mwao unawatesa sana.
Una roho ya kichawi sana ww....
Angalu kuna hii kauli ya serikali kutokea kwa Balozi huko Namibia Tanzanian envoy denies President Magufuli in bad health
Ndugu yangu roho imeniuma.... Naogopa sana picha kama hizi, huwa zimebeba ukweli mtupu.. Nimejua sasa why watanzania tunagombana, huyu baba tayariHuyu alienungushiwa duara alikuwa katibu wa Rais baadae akapelekwa Mara,kafariki jana usiku. Kwa hapo kabaki Jiwe tuu nae anapigania uhai wake ICUView attachment 1723518
Acha kupanic jombaa tena usiwahi kuja kuforce maujinga yako ufananie na mwingineπππππππππConversations kama hizi bado utakuwa kuna watu wanaLike na KuLove ,Kulikoni?
Sipingi mawazo yako mkuu,ila tambua kwamba mioyo ya watu ni vichaka, hata wewe kwa nafasi yako ndogo huko uliko,haupendwi na wote na kuna baadhi wanatamani ufe hata leo, bila kujali umewatendea wema au ubaya kwa nyakati tofauti za maisha yako.Ondoa shaka tuombe Mungu atupatie uzima mimi na wewe,tushuhudie kwa pamoja
Ukitaka kujua unaishi vizuri na watu au vibaya basi patwa na shida
... yaani nawewe ng'homango umejificha nyuma ya keyboard!!?
... punguzeni basi kupima upepo, UNATOSHA KUMALIZIA SAFARI!
[emoji109][emoji28][emoji3577][emoji95]