Una akili za kitoto sana. Usimchukie mtu kwa imani yake, chama chake n.kWalitumia vibaya umaarufu wao kuwalaghai watanzania kuichagua ccm hasa huko vijijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una akili za kitoto sana. Usimchukie mtu kwa imani yake, chama chake n.kWalitumia vibaya umaarufu wao kuwalaghai watanzania kuichagua ccm hasa huko vijijini
Mkuu ilikuwa maigizo tu mkuu........na of course alikuwa anawakilisha kile alichokuwa nacho Mrema na wala sio kudhihaki
Lete ushahidi au kama kuna mtu alifungua kesi kutokana na kile walichofanya na akashinda au TCRA walifungia kipindi kutokana na show yaousitetee ujinga, walikuwa wanadhihaki watu wengi tu ambao walionekana kuwa tofauti yao kibiashara au kisiasa
Walitumia vibaya umaarufu wao kuwalaghai watanzania kuichagua ccm hasa huko vijijini
Hiyo ni negative perseption vile waligiza ikatokea hivyo. Mbona wakigiza nimatajiri haiwi. Wabongo bhana ukisema "ntajiua watasema maneno yanaumba ila ukisema ntajenga ghorofa utasikia aah wapi kwa usawa huu" kwanini yaumbe negatively na sio positively.usitetee ujinga, walikuwa wanadhihaki watu wengi tu ambao walionekana kuwa tofauti yao kibiashara au kisiasa
msemo wake huo hv alikuwa na maana gani bw:Joseph ShambaLing'ong'o sio ishu....ishu ubwabwa na kambale....
Kama bado atakua anaumwa kama taarifa za awali zilivyosema (ingawa hazikufafanua), Basi huyu ndio atakua mtanzania aliyeumwa/aliyeugua kwa muda mrefu zaidi.kuna habari kwamba alikuwa anaumwa.ni muda mrefu sana.Mwenye taarifa zake tafadhaliView attachment 1630254
Ni ugonjwa gani alikuwa/anaumwa ?
Alikuwa handsome
Mzee una uhakika?alifariki jamaa ikafanywa siri
Kifo kina siri, kama ni siri wewe ulifahamu vipi?alifariki jamaa ikafanywa siri
alifariki jamaa ikafanywa siri