hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha 😂Anafanana na Lijua Likali....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 😂Anafanana na Lijua Likali....
Handsome kama weweMimi mgonjwa wa nini?
kweli kabisa cha muhimu ni kusali sanaSana.Unawez kusema unateseka lakini wapo wenzako wanateseka kitandani kiasi cha kumuuliza Mungu"Unanichukua lini ili niondokane na haya mateso" .Inauma mkuu
yap ni kweli hakikisha kila sekunde ambayo upo mzima wa afya usiruhusu huzuni itawaleni kweli ndio maana mimi siku hizi nafurahia kila jambo hata wakati nina shida nafurahi tu
ni kweli mkuu.Mungu atupe mwishi ulio mwemakweli kabisa cha muhimu ni kusali sana
Hasa Masanja, huwa wanasema ana roho ngumu sana.Wale majamaa wana roho ngumu sana
AiseeTumuambie diamond amtibie.
Acha kusema kitu usicho na uhakika nachoalifariki jamaa ikafanywa siri
Wimbo wa OSS Marashi ya Pemba nasikia ndio kimemponza mchuchu wa MpembaKama bado atakua anaumwa kama taarifa za awali zilivyosema (ingawa hazikufafanua), Basi huyu ndio atakua mtanzania aliyeumwa/aliyeugua kwa muda mrefu zaidi.
Cha kushangaza zaidi kuhusiana na huyu jama hakunaga hata rumous mtaani ya kinachoendelea zaidi ya majibu ya mkato kuwa ni MgOnJwA
kivipi?Wimbo wa OSS Marashi ya Pemba nasikia ndio kimemponza mchuchu wa Mpemba
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Kwanini mkuu?Hasa Masanja, huwa wanasema ana roho ngumu sana.
huyo dogo ni marehemu toka 2014 kama sikosei..you are trying to find updates of the dead!Ukweli ni upi hapa?
Wewe umesikia wapi?huyo dogo ni marehemu toka 2014 kama sikosei..you are trying to find updates of the dead!
Una uhakika gani kama hawajamsaidia mkuu?Kuna mambo nashindwa kuelewa Joti,Masanja mkandamizaji na Mpoki hivi kweli wameshindwa kabisaa kumsaidia mwenzao au wamemtoa kafalaa!!??
Walimsaidia na nadhani bado wanamsaidia mpaka sasa. Wakati ule kikundi kipo hai walimpeleka hadi India kafanyiwa operation na kila mwezi alikuwa analipwa mshahara wake kama kawaida, sema ni vile hawatangazi tuWale majamaa wana roho ngumu sana
Acha kuwa mpumbavu kwa kujitakia, josephat gwajima hana doctorate yoyote ileeeYule mcheza muvi si anajiita Dr, angalau thiolojia elimu ya dini ya hapa na pale!
Masanja sio msukumaHajaponaga tu?,,i see uchawi wa kisukuma ni mwisho..
Kwani masanja anasemaje au kishamsahau kijana wa watu?