wailer hov
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 286
- 409
Ndugu,Papa unamuona ndiye mfano wa Mtakatifu kuliko wewe mwenyewe?Mbona hapo maskani mwa Papa kuna skendo na ushahidi wa kulawiti wa watoto?Je na hapo nyumbani kwako kukiwa na skendo na ushahidi wa ulawiti utakatifu utakuwepo?Papa mwenyewe anaogopa corona kama nini alafu anatokea mtenda dhambi mkubwa na katili anajifanya anamjua MUNGU kuliko watu wengine na kutamba juu
U-papa unaweza kuamini ni taasisi iliyoundwa kimkakati?na Inayotumika kupenyeza hila mbaya/Unyonyaji na uovu kwa jamii nyingine hasa ya chini kwa njia ya Imani?Papa mwenyewe anaogopa corona kama nini alafu anatokea mtenda dhambi mkubwa na katili anajifanya anamjua MUNGU kuliko watu wengine na kutamba juu
Waulize waliompa utakatifu na siyo mimi na kama una ushahindi kwanini usiende mahakamani?Ndugu,Papa unamuona ndiye mfano wa Mtakatifu kuliko wewe mwenyewe?Mbona hapo maskani mwa Papa kuna skendo na ushahidi wa kulawiti wa watoto?Je na hapo nyumbani kwako kukiwa na skendo na ushahidi wa ulawiti utakatifu utakuwepo?
Kwa hiyo dikteta ndiyo anastahili kuwa mtakatifu?U-papa unaweza kuamini ni taasisi iliyoundwa kimkakati?na Inayotumika kupenyeza hila mbaya/Unyonyaji na uovu kwa jamii nyingine hasa ya chini kwa njia ya Imani?
Ndo mnavyofundishwa madrasa!!???U-papa unaweza kuamini ni taasisi iliyoundwa kimkakati?na Inayotumika kupenyeza hila mbaya/Unyonyaji na uovu kwa jamii nyingine hasa ya chini kwa njia ya Imani?
Covid-19Nauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA.
Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake?
Maendeleo hayana vyama!
Ungekuwa hipendi usingekuja na poroja hapa kila kukicha.Chadema wanapenda wenzao wafe. Sijui wana roho gani hawa
Wako mahali salama salimini vinginevyo TBC na vyombo vya Habari vyote, hata vilivyofungiwa vingefunguliwa, vingekuwa vimetangaza hata wakiwa hospitalini. Wanaojua, hali ya Maalim Seiff ikoje?Kwahiyo hapo Ufipa mnaumwa maana siyo Mbowe wala Mnyika anayeonekana hadharani?
Mleta mada ni buku saba mwenzenu...uwe unasoma kabla hujacommentYupo likizo kidogo chadema huwa na maombi mabaya tu why?
Wana roho ya uongozi, roho ya kuliongoza taifa la WatanzaniaChadema wanapenda wenzao wafe. Sijui wana roho gani hawa
Mbona unaenda kinyume na Mwenyekiti wa chama?Bwashee chukua tahadhari Moshi na Morogoro hakusomeki!
Mpishi wake je Yuko hewani?Dereva wake je anaonekana?
Anayefurahi mwenzake kids nani Kati ya hao na wamtaa kijaniWana roho za kishetani!