Yule aliyesema watu wahame mjini warudi Shamba hakudhamiria, hawa ndio wamedhamiria. Akufukuzaye...



Acha jeuri KIJANA

😀😀😀
 
Watu walikimbia vijijini baada ya kugundua huduma muhimu zipo mijini.
Vijiji vingi vilisahauliwa kupata hudumu za msingi,wakakimbilia mijini hasa miji mikubwa,matokeo yake na huko mjini kukafurika, kazi zikayeyuka na huduma zikawa shida.
Bei ya mazao au bidhaa itokayo vijijini huku mjini bei yake imepanda sana yaweza ikafika mara 10 wakati mwingine kuliko bei ya anayouza mkulima sababu inapitia kwa middle men zaidi ya watano.Kwa hali ilivyo ukishindwa kupata hata mlo mmoja kwa siku utakimbia mji.
Tuseme tu kuhamia mjini sio solution ya kila kitu wakati mwingine ni kuhamisha matatizo.
 
Ht hiyo bado bei ni ndogo, mnajua gharama za kilimo au mko mjini mnapiga tu kelele. Mchele kihalali unatakiwa uuzwe 2500 kwa kilo

Ili uwauzie Watanzania wapi hao ambao kipato Chao wengi wao hakifiki elfu 3 Kwa siku?

Na wengi familia zinaanzia watu watano...

Unachukulia mambo kirahisi Boss
 
Kuna jamaa yangu alikua round about kkoo kama miaka 8 hivi ... sasa hivi anatembeza bidhaa zake BAGAMOYO... dah mama samia sio mchezo
 
Ni ukweli mchungu
 
[emoji769]Mh?
ROBERT HERIEL
 
Yaani huyu kiumbe ndiyo anachemshamsha kabisa.😥
Watu walimshauri akaange au aoke, akadai mafuta ^yata-two-me-car^ mengi. Ndiyo hivyo tena, ngoja ^key-la m-two^ ale kulingana na urefu wa kamba yake. Ila wasisahau kuna possibility ya kamba kukatika na kuvamia viunga vya wengine!
 
Ili uwauzie Watanzania wapi hao ambao kipato Chao wengi wao hakifiki elfu 3 Kwa siku?

Na wengi familia zinaanzia watu watano...

Unachukulia mambo kirahisi Boss
Kwahyo watu walime kwa hasara ili nyie wa mjini mle tu kwa bei mnayoitaka. Bado bei ya mazao ipo chini huo ndio ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…