Chariton003
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 333
- 905
Halafu anatudanganya eti havai viatu sababu sijui nini nini sijui?!AHAAA AHAAA HATA MRISHO MPOTO YEYE PEKU KABISA JUKWAANI WALA HAJIULIZI NDO SEMBUSE YEBOYEBO NDANI YA V8 au Electric hummer 2023 ?
Labda ana matatizo ya miguu ?Yule Mbunge na tajiri wa makambako JPIPO hajawai kuvaa kiatu cha kufunika,itakuwa ndagu yake katoa kwa huyo Bibi.
Hafanyi fair kwanini anichagulie. Nimebanwa na haja mjini hiko kichaka nakipata wapiShida unachaguliwa huchagui..... Ungeenda ghafla unaambiwa uwe unajisaidia vichakani tu
Huwezi kusahau bana.Hilo sharti anapewa kijana mbichi, anajua tu utakamatika siku ya kufunga hharusi.
Nipo serious mwenzioNjoo... mimi ninao huo uganga
PUNGUZENI KUDANGANYA WATU JAMANI , TANZANIA isingekuwa na masikini wengi hiviNgende wapo wengi tu sio huyo tu ,ila wale wengi wanatoa shart la mke mmoja tu basiii
Hilo ni sharti gumu ndio maana likawekwa hapo. Fikiria umeshakuwa mfanyabiashara mkubwa wewe na wenzako mmeitwa Ikulu na Rais anawasalimia kwa kuwapa mkono utakataa?AISEE MASHARTI MAZURI SANA HAYO.
NINGEMJUA MAPEMA SASA HIVI NINGEKUWA NA MABASI YANGU YA MIKOANI NA NIINGEYAITAA
NSHOMILE TRAVEL CO.LTD
DAR-BUK, DAR-KAMPALA,DAR-KIGALI, DAR-LUSAKA,DAR-HARARE, DAR-GABORONE
NAJUA HAPO HILO SHARTI LA KUTOMSALIMIA MTU KWA MKONO NI JEPESI NINGELIWEZA TU.
MBINGU NA PEPO NI HAPAHAPA DUNIANI
Yaani uwe tajiri halafu una mke mmoja?! Haiwezekani.Ngende wapo wengi tu sio huyo tu ,ila wale wengi wanatoa shart la mke mmoja tu basiii
Ngoja waje kupata muongozo.
- Usitoe pesa kuanzia saa kumi na mbili jioni. (Kuanzia saa moja asubuhi mwisho kumi na mbili jioni)
- Usitume pesa, wape mikononi
- Usilale kitandani - Sakafuni tu
Nakubali braza. Unakuta unapewa sharti la mwanamke mmoja, afu ndo unashika hela, unaletewa wanawake wa kipepo ama majini mazuri mazuri yakutege, uanguke, wakukule kichwa...🤸🤸Hamna sharti rahisi kwenye maswala ya Uganga na Ushirikina, na hivi viumbe huwa vikikupa sharti vyenyewe ndio vinakua vinakushawishi uvunje sharti.
Mfano ukichagua kutovaa viatu vya kufunika, Wanakuletea marafiki,ndugu,watu wako wa karibu watakaokua wanakushawishi kila mkiwa nao uvae viatu vya kufunika.
Au wanakua wanakupelekea macho yako kuona viatu vizuri vyakufunika ambavyo hukuwahi viona duniani.
Ki ufupi hamna sharti rahisi kwenye haya mambo na usithubutu kujichanganya kupata Pesa za Masharti,N mbaya sana.
Aiseee 🤣🤣 tutafute hela kwakweliKUNA JAMAA KIJIJINI HUKO NILISIKIA STORI YAKE KUWA KWENYE KIKAO CHA FAMILIA CHA UKOO ALIFANYA KUFURU.
KWANZA KIKAO KABLA HAKIJAANZA NG’OMBE 2 ZILIANGUSHWA NA BIA KRETI 20.
HAPO YEYE HAJAFIKA BADO.
UNAAMBIWA KIKAO KILIMSUBIRI KWA SIKU 3 HUKU WANA UKOO WAKILA MEMA YA NCHI NA WALA HAKUNA ALIYEKUWA ANALALAMIKA ETI MBONA HAJI NA WENGINE WAKAENDA MBALI NA KUMPIGIA SIMU ETI AWE HURU KUJA SIKU ATAKAYO NA WATAMSUBIRI
Kiuhalisia ni gumu, inahitaji nguvu kubwa sana ya kihisia kukabiliana na wanawake wazuri utakaokuwa nao karibu, uvumilivu juu ya kejeli ambazo hao wanawake watakuwa wanakupa kwa kushindwa kuwapiga show licha ya kwamba wanajirahisha kwako, kejeli kama upinde, hauna nguvu za kiume, mshamba na nyingine nyingi za kuzoofisha heshima ya kiume.Hilo la kuwa na mwanamke mmoja mnalichukulia poa Ila ni gumu mno wakuu..
Sipendi kusalimiana kwa mkono,AISEE MASHARTI MAZURI SANA HAYO.
NINGEMJUA MAPEMA SASA HIVI NINGEKUWA NA MABASI YANGU YA MIKOANI NA NIINGEYAITAA
NSHOMILE TRAVEL CO.LTD
DAR-BUK, DAR-KAMPALA,DAR-KIGALI, DAR-LUSAKA,DAR-HARARE, DAR-GABORONE
NAJUA HAPO HILO SHARTI LA KUTOMSALIMIA MTU KWA MKONO NI JEPESI NINGELIWEZA TU.
MBINGU NA PEPO NI HAPAHAPA DUNIANI
Naturally wanaume mmeumbwa ni polygamist hivyo inahitaji nguvu mno kupambana na nature,Kiuhalisia ni gumu, inahitaji nguvu kubwa sana ya kihisia kukabiliana na wanawake wazuri utakaokuwa nao karibu, uvumilivu juu ya kejeli ambazo hao wanawake watakuwa wanakupa kwa kushindwa kuwapiga show licha ya kwamba wanajirahisha kwako, kejeli kama upinde, hauna nguvu za kiume, mshamba na nyingine nyingi za kuzoofisha heshima ya kiume.
Itakua watanzania wengi walienda kwa huyo Mganga wakapewa vyeo. Maana kila ninapopita nasikia wakiitana "Mkuu", " Kiongozi", "Bosi", "Mkurugenzi" n.kNi siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
N.k, n.k
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
hiyo ya kunya kichakani ndo yenyewe!!!!,sasa kama upo posta,pale BENJAMIN TOWER ukabanwa utafanyaje?Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
N.k, n.k
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Pia kila Mwaka unatoka ulipo kupeleka ahsante ya Tsh 2000 huko ngende kwa mganga...ili ndio sharti gumu.Nini Siri ya hayo masharti. Baada ya muda utayumba na utatakiwa kurudi tena, ndo utaongezewa masharti, baada ya muda utafikia point of no return, sio kazi rahisi kama mnavyofkria.
Shart la Kwanza ni kianzio tu, utakuwa unaongezewa masharti bila kuliacha lile la Kwanza .....It is costfull not easy in the long run