Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Mangi mmoja alikwenda, sharti la Kwanza kabisa akakosea.
Akapewa la pili akawin ndani ya mwaka mmoja kavunja.
Sasa hivi kawa bodaboda kutoka kuwa star mjini mwenge yote alijulikana. Akina Wema, Wolper, and so kawapitia sana.
Aliaambiwa afanye sex na mwanamke mmoja tu. Mipesa iluvyozidi akaona isiwe shida akaanza kutumia na watoto wazuri
Hilo la kutovaa suruali ndefu nadhani litanifaa zaidi 🤣🤣🤣! Ni kula pensi mwanzo mwisho.
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Mangi mmoja alikwenda, sharti la Kwanza kabisa akakosea.
Akapewa la pili akawin ndani ya mwaka mmoja kavunja.
Sasa hivi kawa bodaboda kutoka kuwa star mjini mwenge yote alijulikana. Akina Wema, Wolper, and so kawapitia sana.
Aliaambiwa afanye sex na mwanamke mmoja tu. Mipesa iluvyozidi akaona isiwe shida akaanza kutumia na watoto wazuri
Duh mungu
 
Kitu ambacho wengi hawajui ni kwamba hayo masharti huwa hayawezi kutimizwa kwakuwa yana roho ya miujiza ndani yake mfano; wanaume wengi kuchepuka ni kawaida lakini ikumbukwe kuwa wapo wasio chepuka na wanasababu, sasa mtu kama huyu asiyechepuka akipewa sharti la kutochepuka na mganga tayari roho ya kuchepuka humwingia na hakika atachepuka alimradi tu sharti livunjwe ili aharibikiwe yaani arudi nyumbani umasikinini.
Kuna ndugu yangu alichukua hilo sharti la kujisaidia popote lakini siyo nyumbani anakoishi kuna siku aliamka tumbo limemkamata ile anapiga hatua moja ya pili aliharisha karibu nusu kindoo kila kitu kikaishia hapo yupo kijijini anachoma mkaa
Shetani hanaga urafiki hata siku moja, ni kula uliwe
 
AISEE MASHARTI MAZURI SANA HAYO.

NINGEMJUA MAPEMA SASA HIVI NINGEKUWA NA MABASI YANGU YA MIKOANI NA NIINGEYAITAA

NSHOMILE TRAVEL CO.LTD

DAR-BUK, DAR-KAMPALA,DAR-KIGALI, DAR-LUSAKA,DAR-HARARE, DAR-GABORONE

NAJUA HAPO HILO SHARTI LA KUTOMSALIMIA MTU KWA MKONO NI JEPESI NINGELIWEZA TU.

MBINGU NA PEPO NI HAPAHAPA DUNIANI
umeenda sawa na Scars ,Kiranga
 
Back
Top Bottom