Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #221
AhahahahaSharti la mwisho balaa
Itabidi akupe na dawa hata ukinya kichaka cha jeshi wasikuone au wakikuona wakupigie salute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahahahaSharti la mwisho balaa
Sasa ndugu niwe na hela halafu hats Dubai nisifike?kichaka nitakikuta wapi kule?Ahahahaha
Itabidi akupe na dawa hata ukinya kichaka cha jeshi wasikuone au wakikuona wakupigie salute
Uwe na ukwasi then maisha yako ni wewe na daladala wewe na baiskeli.Sasa ndugu niwe na hela halafu hats Dubai nisifike?kichaka nitakikuta wapi kule?
Hakuna sharti naliweza hapo,at least la magari na open shoes.
Unatafta kishandu akuwaishe locationhiyo ya kunya kichakani ndo yenyewe!!!!,sasa kama upo posta,pale BENJAMIN TOWER ukabanwa utafanyaje?
Apige promo fasta na utaka uwaziri mkuuMkoba lazima utakuwa umebaki na mtu [emoji3]
sema vijana ndio hana, wamejaa wapenda pesaKaacha mkoba nyuma utabaki unafanya kazi.
Hii ya kugonga demu moja tu ningeiwezaNi siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
N.k, n.k
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Mangi mmoja alikwenda, sharti la Kwanza kabisa akakosea.
Akapewa la pili akawin ndani ya mwaka mmoja kavunja.
Sasa hivi kawa bodaboda kutoka kuwa star mjini mwenge yote alijulikana. Akina Wema, Wolper, and so kawapitia sana.
Aliaambiwa afanye sex na mwanamke mmoja tu. Mipesa iluvyozidi akaona isiwe shida akaanza kutumia na watoto wazuri
Ninavyokufahamu wewe usingeweza.Hii ya kugonga demu moja tu ningeiweza
Unanifahamia wapi tumbaku wewe, kwanza sihongi na sijawahi kuhonga na sifikirii kuhongaNinavyokufahamu wewe usingeweza.
Kumbuka sasa hivi ukipata pesa tu mjomba anakuongoza kutafuta namba za watoto wazuri.
Je, ukiwa na mamilioni?
Kuna mwamba business man kkoo huwa havai suruali hata iweje ishu ka harus anachangia tu..Hilo la kutovaa suruali ndefu nadhani litanifaa zaidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Ni kula pensi mwanzo mwisho.
Adhabu...Sasa huo utajiri au mateso?
Knyama sinza Vichaka vyote vile Udsm mlimani main campus mkuu unafeli wapi....au unaogopa wale watoto wazuri watakuona ukikata gogoHilo sharti la kichakani imagine umebanwa kijitonyama au sinza mpaka ukute kichaka ushaharibu mambo[emoji23][emoji23]
Atakuwa mdau huyoKuna mwamba business man kkoo huwa havai suruali hata iweje ishu ka harus anachangia tu..
Misiban kwingineko yeye pensi tu kwa kifupi sehemu ambazo itabd avae suruali anazihepuka
Oya huyo Mangi mbona kama namjua pale Mwenge.Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
N.k, n.k
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Mangi mmoja alikwenda, sharti la Kwanza kabisa akakosea.
Akapewa la pili akawin ndani ya mwaka mmoja kavunja.
Sasa hivi kawa bodaboda kutoka kuwa star mjini mwenge yote alijulikana. Akina Wema, Wolper, and so kawapitia sana.
Aliaambiwa afanye sex na mwanamke mmoja tu. Mipesa iluvyozidi akaona isiwe shida akaanza kutumia na watoto wazuri
Na yeye ndiyo sharti lake moja wapo awasaidiye wengine tu yeye ni kula kuku tu wanaoletwa na wateja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Mbona katika top 10 ya list ya matajiri Tanzania huyo bibi akuwepo?
Mlimani kuna wakati chui alikuwa anaonekana, mwenyewe umejiachia anakupitia pamoja na gogo lako sijui maji utapata wapi!Knyama sinza Vichaka vyote vile Udsm mlimani main campus mkuu unafeli wapi....au unaogopa wale watoto wazuri watakuona ukikata gogo