Nilifikiri nani mkali wa kubugia poda kumbe kuimba!wakuu naomba maoni yenu hapa, nani ni mkali wa kuimba kati ya Chidi Benz na Daz Baba? Yupi ana hit records nyingi sana? kwa jinsi unavyoona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilifikiri nani mkali wa kubugia poda kumbe kuimba!wakuu naomba maoni yenu hapa, nani ni mkali wa kuimba kati ya Chidi Benz na Daz Baba? Yupi ana hit records nyingi sana? kwa jinsi unavyoona.
Poda ni chakula mkuu? Chifu SanzeNilifikiri nani mkali wa kubugia poda kumbe kuimba!
Alipata ajali ambayo iliathiri maeneo ya kichwa na ilimfanya apoteze kumbukumbu kabisa 'afute memory', aliwahi elezea hili kwa urefu, ingia U-Tube utampataWe unajua au unahisi kwanini Noorah aliacha Kuimba??
Nimesha kutana na Noorah mara kadhaa Mkuu!Alipata ajali ambayo iliathiri maeneo ya kichwa na ilimfanya apoteze kumbukumbu kabisa 'afute memory', aliwahi elezea hili kwa urefu, ingia U-Tube utampata