Yupo wapi siku hizi?

Yes demu flani hivi alikuwa ana nyama nyama hivi na mwanya flan hivi amaizing.
 
'Da Jo' from Kigamboni.... the female emcee who made me start internalising bongo hip hop. I loved muuuch ile flow yake ya kurap.

'Da Jo' yupo wapi nowadays? Anafanya nini?

One of my most favourite female emcees wa bongo hip hop by then.

-Kaveli-
Da Jo Da Jo tumekukubaliiiii ,Na badoooo ft BAD SPARK.
 
Ah we da jo tumekukubali...
Na bado nadhani kuna swaliii... [emoji23] [emoji23]

Kuna ile, "we si ndo uloleta nyodo, unataka soo"
"Inspectah mwenyewe anazimia na mimi akiniona ohoo Miss Kigamboni" - Da Joh
 
BDP wametawanyika tawanyika but habari njema ni kwamba hapa majuzi wamesharekodi wimbo bado kuutoa tuu... Issa yupo kigamboni, drez kimara na computer pose nadhani ndio kabaki kino.
Hivi kati ya hao nani anayeitwa MWASUBIRA??
 
Flo
Flora nducha na Rose chitala. Umenikumbusha mbali sana. Kuna Abubaqar Sadick. Kuna kibwagizo kiliimbwa nahisi ni banza stone akiwataja watangazaji wa Radio one enzi hizo. Kina Misa ya Bingi (huyu sikuwahi kumfuatilia sana ila nahisi lilikuwa jibaba flani bongebonge) enzi hizo tv ni za kuhesabu, ukimuona mtangazaji wa radio kwenye tv, unasimulia wiki nzima
 
KR mara ya mwisho nmemuona Wasafi Festival dar na kwenye interview wasafi tv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…