Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

Naipenda sana ya majobless...dah long time..
Big doggy Pose

Watoto wa juzi hawawezi wajua hawa.

Wao wanamjua harmonize na lavalava tu

Enzi hizo BDP wanatesa na ngoma ya "make wa MTU ni sumu na majobless au ile ya wanaokwenda jela Ft inspector harun ,harmonize alikuwa Ntwara anacheza mdako na kibababa lava lava alikuwa kwao mitaa ya uswazi dar hapo alivalishwa nepi

Hahahaha
 
Wapi wapi hawa .
- K basil
- Bob rudala
- Yule dada aliyeimba wimbo (Tupendane) in African Band.
- Juma mjivuni (watu poli)
-Tudy thomas wa Ngoma record
- kali p (imekaa vibaya)
Kali P kuna mtu kasema kawa ustaadh siku hizi
Kal p ndio huyo pembeni ya suma lee ni Sheikh na ndio kamfundisha fundisha sana suma lee mambo ya dini
IMG-20190519-WA0000.jpeg
 
Nimewakumbuka awaa sijuii wako wapi....


Basupa
Devi
Mikala
WintA
Mzee Kankaa
Mzee Chiro
Jini Kabula



Dani msimamo
R toni aliyeimba Lisa
Mzee wa Zuwena ntampata wapii


Dr MAUA DAFTARI


aliyefanya tangazo la usione soo sema naye

Seki na kundi zima la ze comedy

Matumainii
 
We mwenyewe wa juzi kumbe, waloimba mke wa mtu ni sumu ni LWP chin ya man slaughter, big dog pose wameimba nyimbo ya majobless pamoja na rudi mpenz
Big doggy Pose

Watoto wa juzi hawawezi wajua hawa.

Wao wanamjua harmonize na lavalava tu

Enzi hizo BDP wanatesa na ngoma ya "make wa MTU ni sumu na majobless au ile ya wanaokwenda jela Ft inspector harun ,harmonize alikuwa Ntwara anacheza mdako na kibababa lava lava alikuwa kwao mitaa ya uswazi dar hapo alivalishwa nepi

Hahahaha
 
Kuna ile pia ama "Kumwambia au kumuimbia tatizo duniani mi naumia naeeee". [emoji23]
Ilikuwa kama ya kuimba kuimba hii sio hardcore
We mwenyewe wa juzi kumbe, waloimba mke wa mtu ni sumu ni LWP chin ya man slaughter, big dog pose wameimba nyimbo ya majobless pamoja na rudi mpenz
 
Back
Top Bottom