Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alifariki almost two years backHata Ezekiel Malongo sijui yuko wapi!!
Daah kwel bab lee bitoz yule sijui kafia wapMama Abdul Kashafariki
Hahaha Bab leee
Mchiz mox ametoa wimbo unaitwa ufala unapigwa sana jafarrai yy ana car wash huko dar yupo na insta yupoWapi Mchizi Mox na Watu Pori? Mzee wa watu Kibao na Jaffarah bado yupo bize?
Big doggy Pose
Watoto wa juzi hawawezi wajua hawa.
Wao wanamjua harmonize na lavalava tu
Enzi hizo BDP wanatesa na ngoma ya "make wa MTU ni sumu na majobless au ile ya wanaokwenda jela Ft inspector harun ,harmonize alikuwa Ntwara anacheza mdako na kibababa lava lava alikuwa kwao mitaa ya uswazi dar hapo alivalishwa nepi
Hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23] acha mkuu...kuna madogo hapa nadhan hawaelewii kinachoendelea ..Mpaka mavichwa yanaongezeka upana majobless majobless [emoji23]
Wanasema Yupo na anawaka kama zaman tuuh
Wapi wapi hawa .
- K basil
- Bob rudala
- Yule dada aliyeimba wimbo (Tupendane) in African Band.
- Juma mjivuni (watu poli)
-Tudy thomas wa Ngoma record
- kali p (imekaa vibaya)
Kal p ndio huyo pembeni ya suma lee ni Sheikh na ndio kamfundisha fundisha sana suma lee mambo ya diniKali P kuna mtu kasema kawa ustaadh siku hizi
GK alikuwa aachi kumtaja kwenye ngoma zake Sijui alikuwa ni nan kwakeeAlikua Mbele Mwaka jana alikuja Ila nahc kashaamshaa Maana Inaonekana Anamichongo kule anapiga baada ya Kumaliz skul
Alikua Producer anaandaa Biti Geto afu Inaperekwa MJ records Kwa Masta J wanaingiza Vocal Napia alikua Msimamizi na Kina LudigooGK alikuwa aachi kumtaja kwenye ngoma zake Sijui alikuwa ni nan kwakee
Wapi John Mahudi, Paparaz keep it tight....Asante kwa taarifaaAlikua Producer anaandaa Biti Geto afu Inaperekwa MJ records Kwa Masta J wanaingiza Vocal Napia alikua Msimamizi na Kina Ludigoo
Kwaiyo nyimbo nyingi za awa jamaa John MAHUNDI kahusikaa....east coast teamAlikua Producer anaandaa Biti Geto afu Inaperekwa MJ records Kwa Masta J wanaingiza Vocal Napia alikua Msimamizi na Kina Ludigoo
Ndiyoo Af Vocal Kwa Master anajazia VinyamaKwaiyo nyimbo nyingi za awa jamaa John MAHUNDI kahusikaa....east coast team
Big doggy Pose
Watoto wa juzi hawawezi wajua hawa.
Wao wanamjua harmonize na lavalava tu
Enzi hizo BDP wanatesa na ngoma ya "make wa MTU ni sumu na majobless au ile ya wanaokwenda jela Ft inspector harun ,harmonize alikuwa Ntwara anacheza mdako na kibababa lava lava alikuwa kwao mitaa ya uswazi dar hapo alivalishwa nepi
Hahahaha
No yupo Australia alisoma chuo huko huko na kaajiriwaYupo Ireland kaoa na mzungu
We mwenyewe wa juzi kumbe, waloimba mke wa mtu ni sumu ni LWP chin ya man slaughter, big dog pose wameimba nyimbo ya majobless pamoja na rudi mpenz
Yes huyu jamaa alishirikishwa kwenye ngoma ya Ali kiba nalia na kwenye ngoma ya abby sjills na dilly skyes modo wa hiyo video sauda mwilima sijui yuko wapi jamaaMimi namtafuta yule Zaharan alikua anachana na marehemu Complex