Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiojulikana mnaongea kwa kunata nata sanaHakuna haja ya kubumbabumba mambo...mwacheni aishi private life ameshaondokana na public duties
Leta selfie uliyopiga naye hapo unapopaita KWAKE
Iyo hapoLeta selfie uliyopiga naye hapo unapopaita KWAKE
Napinga kumwita spika mstaafu, neno mstaafu lina maana yake na lina heshima zake, wapo wanaostahili kupewa heshima hizo, siyo hata wahuni wanaitwa wastaafu, watafutieni jina lao linaloendana na matendo yaoKatika hali ya kushangaza ambayo si utamaduni wa Watanzania pale inapotokea tendo la kuapishwa kwa mtu anayechukua nafasi katika uongozi wa Umma, mtamgulizi / watangulizi wake kama wapo hai uhudhuria na hata kupiga nae picha ya pamoja!
Katika hali ya sintofahamu ambayo imezua taharuki mitaani ni kutoonekana kwenye viwanja vya Bunge siku ya leo kwa Ndugu Job Ndugai. Wanaharakati wa haki za binadamu tunahoji wapi mmemficha Job Augustino Ndugai? Na kwa nini asitokelezee kwenye picha ya ukumbusho?
Tunamtaka Job!
Unabisha na hujui alipo! Nikikwambia unamatatizo kichwani utakataa?Leta selfie uliyopiga naye hapo unapopaita KWAKE
Kura yake ni Kati ya zile 376.Lakini kura yake ni kati ya zile 376 zilizopigwa.. Lakini tukiachana na hilo katika hali ya kawaida hata wewe usingeweza kuonekana mitaa hiyo
Hivi kufukuzwa ni kustaafu?Katika hali ya kushangaza ambayo si utamaduni wa Watanzania pale inapotokea tendo la kuapishwa kwa mtu anayechukua nafasi katika uongozi wa Umma, mtamgulizi / watangulizi wake kama wapo hai uhudhuria na hata kupiga nae picha ya pamoja!
Katika hali ya sintofahamu ambayo imezua taharuki mitaani ni kutoonekana kwenye viwanja vya Bunge siku ya leo kwa Ndugu Job Ndugai. Wanaharakati wa haki za binadamu tunahoji wapi mmemficha Job Augustino Ndugai? Na kwa nini asitokelezee kwenye picha ya ukumbusho?
Tunamtaka Job!
NtakataaUnabisha na hujui alipo! Nikikwambia unamatatizo kichwani utakataa?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Hapo nani kenge?
Mdomo komaNimekoma mimi
Mwambie NdugaiMdomo koma
Hicho ni kiswahili rasmi cha mtu anaeachia mjukumu fulani, sasa kama unaona sio sahihi jaribu kutunga lako.Napinga kumwita spika mstaafu, neno mstaafu lina maana yake na lina heshima zake, wapo wanaostahili kupewa heshima hizo, siyo hata wahuni wanaitwa wastaafu, watafutieni jina lao linaloendana na matendo yao
Mkuu lini hiyo mbona siku hazifiki?Alitimiza unabii wa kujiuzulu Sasa unabii mwingine UNAENDA kutimia!!
Amefika mwishoni mwa majukumu yake katika muda aliopangiwa kuitumikia nafasi husika, huyu angeitwa mstaafu 2025Hicho ni kiswahili rasmi cha mtu anaeachia mjukumu fulani, sasa kama unaona sio sahihi jaribu kutunga lako.
Waziri mkuu mstaafu LOWASSA.Amefika mwishoni mwa majukumu yake katika muda aliopangiwa kuitumikia nafasi husika, huyu angeitwa mstaafu 2025
All togetherWaziri mkuu mstaafu LOWASSA.