Yupo wapi Spika Mstaafu, Job Ndugai?

Yupo wapi Spika Mstaafu, Job Ndugai?

Hivi hili taifa halina wanahabari makini wa kiuchunguzi kiasi cha kutufahamisha alipo Job Ndugai?

Ikumbukwe Ndugai alikuwa mkuu wa bunge na kiongozi mahili ndio maana kuna soko la Ndugai limejengwa Dodoma.

Kwa nini hamfanyi uchunguzi tufahamu alipo?
 
Hili jambo hata mimi limenishangaza sana.

Yaani kiongozi wa mhimili wa mkuu wa nchi kama bunge tunaelezwa 'amejiuzuru' kiutata utata tena akiwa mafichoni na mpaka leo hii kwa zaidi ya siku 60 hajaonekana hadharani na hakuna chombo chochote cha habari kinahoji, kuchunguza au kufuatilia.
 
Hili jambo hata mimi limenishangaza sana.
Yaani kiongozi wa mhimili wa mkuu wa nchi kama bunge tunaelezwa 'amejiuzuru' kiutata utata tena akiwa mafichoni na mpaka leo hii kwa zaidi ya siku 60 hajaonekana hadharani na hakuna chombo chochote cha habari kinahoji, kuchunguza au kufuatilia.
Sijui wanapigwa mikwara?
 
Hivi hili taifa halina wanahabari makini wa kiuchunguzi kiasi cha kutufahamisha alipo Job Ndugai?...
Haya ni mambo ya kuelimishana tuu, kuna kitu kinachoitwa "the right to privacy", media huturuhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yoyote.

Hivyo sisi waandishi tupo, tunajua Ndugai yuko wapi, na kwanini yuko hapo alipo na anafanya nini, ila hatusemi na hatuandiki ili kulinda his right to privacy.
p
 
Haya ni mambo ya kuelimishana tuu, kuna kitu kinachoitwa "the right to privacy", media huturuhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yoyote.

Hivyo sisi waandishi tupo, tunajua Ndugai yuko wapi, na kwanini yuko hapo alipo na anafanya nini, ila hatusemi na hatuandiki ili kulinda his right to privacy.
p
Ngoja tumsubiri mange kimambi
 
Haya ni mambo ya kuelimishana tuu, kuna kitu kinachoitwa "the right to privacy", media huturuhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yoyote.

Hivyo sisi waandishi tupo, tunajua Ndugai yuko wapi, na kwanini yuko hapo alipo na anafanya nini, ila hatusemi na hatuandiki ili kulinda his right to privacy.
p
Umejibu vyema tena kwa akili japo ndani yake umeibua hoja nyingine kubwa zaidi
 
Haya ni mambo ya kuelimishana tuu, kuna kitu kinachoitwa "the right to privacy", media huturuhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yoyote.

Hivyo sisi waandishi tupo, tunajua Ndugai yuko wapi, na kwanini yuko hapo alipo na anafanya nini, ila hatusemi na hatuandiki ili kulinda his right to privacy.
p
Je yuko free pia kuexpress himself na kumove kama katiba unayoiheshimu,come on,kaa kimya
 
Hivi hili taifa halina wanahabari makini wa kiuchunguzi kiasi cha kutufahamisha alipo Job Ndugai?

Ikumbukwe Ndugai alikuwa mkuu wa bunge na kiongozi mahili ndio maana kuna soko la Ndugai limejengwa Dodoma.

Kwa nini hamfanyi uchunguzi tufahamu alipo?
Sukuma Gang bana,wakati wa jiwe waandishi wa habari wengi walitoweka na kuteswa mlishangalia mkasema ni vibaraka wa mabeberu leo hii mambo yamekuwa magumu kwenu mnaomba msaada wao.
 
Haya ni mambo ya kuelimishana tuu, kuna kitu kinachoitwa "the right to privacy", media huturuhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yoyote.

Hivyo sisi waandishi tupo, tunajua Ndugai yuko wapi, na kwanini yuko hapo alipo na anafanya nini, ila hatusemi na hatuandiki ili kulinda his right to privacy.
p
Kumbuka Ndugai ni public figure mkuu. Haina haja ya kuficha alipo.
 
Katika hali ya kushangaza ambayo si utamaduni wa Watanzania pale inapotokea tendo la kuapishwa kwa mtu anayechukua nafasi katika uongozi wa Umma, mtamgulizi / watangulizi wake kama wapo hai uhudhuria na hata kupiga nae picha ya pamoja!

Katika hali ya sintofahamu ambayo imezua taharuki mitaani ni kutoonekana kwenye viwanja vya Bunge siku ya leo kwa Ndugu Job Ndugai. Wanaharakati wa haki za binadamu tunahoji wapi mmemficha Job Augustino Ndugai? Na kwa nini asitokelezee kwenye picha ya ukumbusho?

Tunamtaka Job!

Nadhani atakuwa Kateuliwa BALOZI
 
Back
Top Bottom