Yupo wapi Spika Mstaafu, Job Ndugai?

Yupo wapi Spika Mstaafu, Job Ndugai?

Katika hali ya kushangaza ambayo si utamaduni wa Watanzania pale inapotokea tendo la kuapishwa kwa mtu anayechukua nafasi katika uongozi wa Umma, mtangulizi / watangulizi wake kama wapo hai uhudhuria na hata kupiga nae picha ya pamoja!

Katika hali ya sintofahamu ambayo imezua taharuki mitaani ni kutoonekana kwenye viwanja vya Bunge siku ya leo kwa Ndugu Job Ndugai. Wanaharakati wa haki za binadamu tunahoji wapi mmemficha Job Augustino Ndugai? Na kwa nini asitokelezee kwenye picha ya ukumbusho?

Tunamtaka Job!

Kikawaida KUB pia huhudhuria hafla kama hizo, iwe wa sasa au wa mwisho kushika nafasi hiyo, au hata KUB Kivuli. Mr Mbowe alikuwa Tengeru kwa mkwewe na Tundu Antipathy alikuwa majuu.
 
Sh
Dar nenda salasala we ulizia boda yoyote atakupeleka
Doom anajulikana kwake, kongwa shuka ulizia kwake utaelekezwa
Kamtembele kiongozi wako
Vijana nyie sahv mbona syo majasiri kuwatembelea viongozi makwao

Ova
Shukrian
 
Itabidi nikubaliane kutokukubaliana ili mjadala usiwe mrefu.
Kwasababu Job anaweza kuwa ni role model kwa baadhi ya watu. Lakini pia ni public figure, kwahivyo suala la mahali alipo kwa sasa, na maoni yake baada ya kujiuzulu haiwezi kuwekwa kwenye haki ya faragha. Labda kama kuna kilichojificha nyuma ya pazia!
Kama nilivyosema, the right to privacy varies with territories, kwa wenzetu Waingereza, anyone paid by taxpayers, surrender his public and private affairs to the taxpayers, they have to know your public and private conduct because it's their tax money.

Kule akiteuliwa kushika wadhifa fulani, ukiwa na mkeo, ukijulikana tuu kuchepuka, unapoteza kazi. Huku viongozi wanafolenisha vimada, Hadi wanagombaniwa, watoto wanazaliwa out of wedlock, kwetu it's ok!. Haturuhusiwi kuandika private affairs za viongozi. Job Yustino Ndugai yupo hapo alipo, wanaopaswa kujua yuko wapi, wanajua, the rest subirieni vikao vya Bunge mtamuona.

JPM alupoumwa, ikafanywa siri to protect his right to privacy, matokeo yake, kikatukumba kisa cha mficha maradhi!. Laiti tungetangaziwa rais anaumwa, kuna watu wana very strong and powerful healing powers of prayer, wangemuombea saa hizi, JPM angekuwepo.

Hivyo JYN, yupo Ila ni private affairs.
P
 
Tunasubiri Mungu atutendee muujiza kama wa tarehe 17/MACHI/2021!
Huu ni unabii wa majanga!.
P
 
Haya ni mambo ya kuelimishana tuu, kuna kitu kinachoitwa "the right to privacy", media huturuhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yoyote.

Hivyo sisi waandishi tupo, tunajua Ndugai yuko wapi, na kwanini yuko hapo alipo na anafanya nini, ila hatusemi na hatuandiki ili kulinda his right to privacy.
p
Kaka Pascal, sikajukuelewa vizuri. Kwamba kwa sababu ya "right to pricavy" media hamruhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yeyote. Je, kujua kwenu kwamba yupo wapi, anafanya nini, hakujaivunja hiyo haki, na mmejuaje bila kumfuatilia?
Hamuoni kwa mashaka waliyonayo watanzania juu ya uhuru, usalama, na haki zake yanahitaji majibu?
 
Kaka Pascal, sikajukuelewa vizuri. Kwamba kwa sababu ya "right to pricavy" media hamruhusiwi kufuatilia maisha binafsi ya mtu yeyote. Je, kujua kwenu kwamba yupo wapi, anafanya nini, hakujaivunja hiyo haki, na mmejuaje bila kumfuatilia?
Hamuoni kwa mashaka waliyonayo watanzania juu ya uhuru, usalama, na haki zake yanahitaji majibu?
Sisi waandishi wa habari, kuna taarifa za privacies za watu tunakutana nazo by nature ya kazi zetu, hizi zinaitwa "privileged information", hatupaswi kuzimwaga hadharani. Media na sisi waandishi wote tunajua mahali Mhe. JYN alipo na anafanya nini, Kwa vile it's a print issue, hatusemi.
P
 
Katika hali ya kushangaza ambayo si utamaduni wa Watanzania pale inapotokea tendo la kuapishwa kwa mtu anayechukua nafasi katika uongozi wa Umma, mtangulizi / watangulizi wake kama wapo hai uhudhuria na hata kupiga nae picha ya pamoja!

Katika hali ya sintofahamu ambayo imezua taharuki mitaani ni kutoonekana kwenye viwanja vya Bunge siku ya leo kwa Ndugu Job Ndugai. Wanaharakati wa haki za binadamu tunahoji wapi mmemficha Job Augustino Ndugai? Na kwa nini asitokelezee kwenye picha ya ukumbusho?

Tunamtaka Job!


Pamoja na mapungufu yake Ndugai ni mtanzania mwenzetu.

Alionekana mara ya mwisho Ikulu Dodoma.

Yuko wapi Job Yustino Ndugai?

Serikali, majibu yenu tafadhali.
 
Nasema hivi kile kijamaa sijui kama kitahudhuria bungeni!!hata kama ni mimi bora na ubunge wao , wauchukue tu, kwani tayari ni spika mstaafu, ana shida gani?
Kweli. Kwa kiburi alichonacho na dharau hapo hapo yuko radhi kufukuzwa.
 
Katika hali ya kushangaza ambayo si utamaduni wa Watanzania pale inapotokea tendo la kuapishwa kwa mtu anayechukua nafasi katika uongozi wa Umma, mtangulizi / watangulizi wake kama wapo hai uhudhuria na hata kupiga nae picha ya pamoja!

Katika hali ya sintofahamu ambayo imezua taharuki mitaani ni kutoonekana kwenye viwanja vya Bunge siku ya leo kwa Ndugu Job Ndugai. Wanaharakati wa haki za binadamu tunahoji wapi mmemficha Job Augustino Ndugai? Na kwa nini asitokelezee kwenye picha ya ukumbusho?

Tunamtaka Job!

 
Back
Top Bottom