Yusuf Manji arejea Tanzania

Acha kuleta story za vijiwe vya kahawa; unajua undani wa biashara za Manji? CRDB wanatengeneza faida kila mwaka? Default mkubwa CRDB sio Manji…

CRDB wangetegeneza faida kubwa zaidi kama sio defaulters kama Manji!!! Wewe inawezekana ni mmoja wa makarani wa CRDB ambao huwa mnawahongwa vijisenti ili kuhujumu benki!!!! Mimi sio mtu wa story za vijiweni bali ni stakeholder wa CRDB kwahiyo nina uhakika na hiki ninacho andika!
 
Miakayote MAAFISA UHAMIAJI walikuwa hawajui uraia wake?
 

Watz vijana mnaitaji kusoma sana na kuelewa mambo hasa yanayo husu uchumi na siasa…
Sasa umefuatilia mashitaka ambayo takukuru wanamchunguza kuna hata moja ambalo lina husu CRDB?
Alafu jua CRDB ni bank kubwa sana na Manji ni mteja wa kawaida kwenye vitabu vya bank.
 
Makonda yuko wapi?
 
Morogoro mama Ametenda haki, hawa watendaji wa serikali ndio vinara wa uonevu kwa wajasiriamali, arusha sekei wajasiriamali wanahamishwa kwa amri ya mmiliki wa leopard tours, anadai wajasiriamali waliopo karibu na jengo lake wapo kwenye reserve ya mto wakati yeye ndio amejenga kwenye reserve ya mto, hata vipimo vinaonyesha na uhakika mama akija arusha kitaeleweka.....kazi inaendelea rushwa haitakaa kurudi tena kama ilivyomalizwa na ya awamu ya tano.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…