Acha kuleta story za vijiwe vya kahawa; unajua undani wa biashara za Manji? CRDB wanatengeneza faida kila mwaka? Default mkubwa CRDB sio Manji…
Serikali imeshamkamataYanga watalinga. Mashabiki wa Yanga wapewe ulinzi.
Dah kuna watu wana roho mbaya sana.Serikali imeshamkamata
Miakayote MAAFISA UHAMIAJI walikuwa hawajui uraia wake?Mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji amerejea jioni ya leo Juni 01,2021 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)
Manji alipowasili leo alizuiliwa kwa muda na maofisa Uhamiaji waliotaka kujiridhisha na uraia wake na kisha aliruhusiwa baada ya Maofisa hao kujiridhisha na uraia wake.
Manji amewahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti na Mfadhili mkubwa wa Klabu maarufu ya Yanga.
Mtanzania
Yawezekana anamakosa huwezi juaDah kuna watu wana roho mbaya sana.
CRDB wangetegeneza faida kubwa zaidi kama sio defaulters kama Manji!!! Wewe inawezekana ni mmoja wa makarani wa CRDB ambao huwa mnawahongwa vijisenti ili kuhujumu benki!!!! Mimi sio mtu wa story za vijiweni bali ni stakeholder wa CRDB kwahiyo nina uhakika na hiki ninacho andika!
Wapi hiyo?Naskia ni mchungaji na ana lake kanisa hapohapo bongo
Makonda yuko wapi?Kwa Shutuma zake nyingi na zisizovumilika namuomba Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan aamuru Kukamatwa upesi kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kisha Yusuf Manji awe Shahidi #1 wa yanayomsibu.
Kila nikikumbuka Tukio alilofanyiwa Manji wa Watu pale Kwake Sea View huku Paul Makonda akiratibu Zoezi zima hadi Manji Chozi la Uchungu kuntoka baada ya Pesa zake zaidi ya Bilioni 3 Kunyakuliwa na Gari lake la Thamani Mhusika kulichukua na Kujimilikisha na aliyelala Kimoja sasa Geita akibariki Krav Maga huwa naumia sana.
Yusuf Mehboob Manji usiogope Kuusema huu ukweli ambao najua hata Rafiki yako mkubwa Rais Mstaafu Mzee Kikwete pamoja na Mwanae Ridhwani ( ambao nao walidharauliwa sana na Makonda aliyokuwa RC wa Dar ) wanalijua hili ila waliogopa kusema kwa Baba yake wa Hiari yasije yakawakuta nao.
Najua yakianza Kufumuka ya Paul Makonda nina uhakika wote tutakubaliana kuwa alichokifanya Ole Sabaya ni cha Mtoto kama ni Viumbe wa Majini ( Baharini ) kwa Ufisadi, Uonevu na Ukatili Sabaya ni Papa ila Makonda ni Nyangumi.
Na ninashangaa kwanini hajakamatwa.
Tatizo haupendi kupewa ukweli.Wewe lazima boi wa Manji!!! Amekuharibu.