TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Kiongozi umeandika maneno mazito kweli kweli. Mungu atujarie neema yake, duniani kumejaa dhiki faraja ni chache
 
Rip Manji.....
 
Unapuyanga sana kuchanganya mafile
 
Mungu aiweke roho ya mwenzetu mahali inapostahili .
Vipi mwenzetu hadi umauti alikuwa na umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…