TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Tulikuwa kwenye kahawa mmoja wetu akasema huyu manji aliwahi kumwambia Magufuli kipindi akiwa waziri kuwa hawezi kuongea na mbwa Bali ataongea na mwenye mbwa(jakaya jigwete)Mwenye kujua issues ilikuwa Nini?
 
Tulikuwa kwenye kahawa mmoja wetu akasema huyu manji aliwahi kumwambia Magufuli kipindi akiwa waziri kuwa hawezi kuongea na mbwa Bali ataongea na mwenye mbwa(jakaya jigwete)Mwenye kujua issues ilikuwa Nini?
Kafukue Kaburi wakwambie Nini Chanzo Ila kikubwa ni mmoja alikua Boss mwingine kijakazi by the time sasa ulipofika muda Meza ikapinduka ndio hapo itoshe kusema ukitaka kwenda kulipa kisasi basi jiandalie makaburi mawili na majeneza mawili moja lako na jingine la yule unaeenda kumlipiza kisasi maana kufa kupo asikwambie mtu

RIP Manji
RIP Magu
 
Angefariki kipindi cha Mwamba Jiwe Magufuli, ingesemwa Mwamba anahusika. Sijui Sasa hivi watasemaje!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…