Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
We die because it's part of nature. We don't die due to some reason. Kuna natural death,Was he sick ? or an accident ?
AahaaaaYeah! ili kesi ikaendeshwe vizuri,ukute wakili wa JPM kahitaji uwepo wake...😁😁😁
KIFO ni maamuzi hayo mengine ni yenuWe die because it's part of nature. We don't die due to some reason. Kuna natural death,
Don't you believe that you can regardless of those human thinking incapability
Amen 🙏Wabilah Taufiq Wanaililah Wainalilahi Rajihuni
Yaani linapokuja suala la kifo usawa si na binadamu mwenzako tu, hata nguruwe na ukharamu wake au mbwa na uchafu wake nao wanakufa wanaoza. Nature haijali kuwa tutazikwa kaburini au pembeni ya nyumba ya kifahari uliyojenga au utatupwa porini.Hapa ndio Mungu alituletea usawa.
Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.
Kukata moto kupo palepale.
Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.
Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.
SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
Aliyewahi kuwa muwekezaji wa klabu ya Yanga SC na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL) Yusuf Manji amefariki dunia leo, Juni 30, 2024.
Taarifa zaidi kukujia....
Unaweza kua Wewe usiseme HIVYOWho's next.
Huyu manji atazikwa India, US au TZ? Muda utatujibuHapa ndio Mungu alituletea usawa.
Uwe Tajiri sana, Uwe fukara sana.
Kukata moto kupo palepale.
Kumbe tukifa Mali zote tunaziacha, na kwamba wakati wa Kufa, Pesa haziwezi kuzuia huo mchakato.
Maana yake ni kwamba, Hata utoe Makafara uwe Tajiri, hata Udhulumu mtu, KUFA UTAKUFA TU.
SWALI NI JE..... UMEJENGA KWENU??? AU NDO UTAACHA WOSIA WA ,NIKIFA, MNIZIKE MAKABURI YA KINONDONI😂😂🥱
Hata mali zake na biashara zake ziliyumba vusasi siyo vizuri ndio maana wazungu wana msemo when you go out for revenge prepare two graves, ndio kilichotokea wote wamekufaLawama zote kwa magufuri aliemuweka ndani kwa visasi, tangu pake haja recover tena.
Ili iwejeChanzo cha habari
Pumzika Kwa amani billionea ManjiDunia tunapita tuishi na watu vizuri...!
Watu mnajua kujipendekeza walahiMimi jina langu naitwa Yusuph , Leo imekuwa siku nzito Sana kwangu .
Nadhani that was a sign kuwa somo wangu anaondoka.
What is this madnessRIP Gabachori.