Ndio madaraka kibongo bongo yalivyo!
Wenye akili hatuafiki ila tunaponzwa na wajinga wengi kwa kisingizio cha demokrasia!Kwa sababu ya Wapumbavu wanaukubali kuitwa wanyonge ndani ya nchi yao baada ya miaka 60 ya uhuru bila ya kujiuliza tunakuwaje wanyonge ndani ya nchi yetu kwa miaka 60 huku kundi la watu wachache wakiwa mamilionea na mabilionea katika kipindi kifupi tu?
CCM ni ile ile mzee baba!Kipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shindikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.
Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.
Wenye akili hatuafiki ila tunaponzwa na wajinga wengi kwa kisingizio cha demokrasia!
Ndio maana nikasema wajinga ni wengi na miongoni mwao ni hao poli-ccm wanaotumika kuminya sauti za raia kwa vitisho vikali! Huku wanasiasa wakijineemesha kwa mtaji wa wajinga haoDemokrasi ipi? Ya kubambikia kesi Viongozi wa upinzani ili kuwafunga na kuua chama chao? Au ya kuua raia wakati wa uchaguzi ili kuiba uchaguzi kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi?
Mbona uchunguzi wa BOT mpaka sasa ripoti yake kimya kama kweli sheria ni msumeno?Sheria Ni msumeno
Kama ana tuhuma tuache vyombo vishughulike naye kupa ukweli.Hapo kuna Rushwa gani mpaka Takukuru waanze kumhoji manji ?hii itapelekea kuzuia uwekezaji tena kwani watakosa imani na Tanzania kwa kuona vyombo hujishughurisha na uchunguzi hata usio na Rushwa
CCM ni ile ile mzee baba!
Hakuna cha mwendazake wala cha mkaazake, wizi ni uleule.
Once a thief, always a jambazi.
Sina shaka wewe ni MWANA- UTOPOLO!Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
MkarukaView attachment 1806523
Daah Manji kajamba kwenye Maji.
Kiboko yako Joseph alikuweza hadi ukaamua kujificha miaka 6 yooteUnajuaje kama kadhia yake tayari haikuwa TAKUKURU?
View attachment 1806523
Daah Manji kajamba kwenye Maji.
Sisi timu la WANANCHI ni wengi kweli kweli tuko makini sana.Psychology of Political Persuasion and Propaganda, Hii story itatrend sana TZ kulikoni mambo mengine mengi yanayohusu ukuaji wa uchumi na maendeleo yetu watz.
Jamani hee,msimfanyie udhalili...!Takukuru mnafanya mambo ya kipuuzi ,mtafanya matajiri wasirudi nchini ,jiwe na bashite walimfirisi ,quality plaza imebaki magofu lakini bado tu mnaye,mmechukua fedha zake zote kwenye account lakini bado tu mnae!! Acheni ujinga takukuru.....BOT viongozi wa serikali wamepiga mabilioni lakini hakuna hata mmoja mliyemuohoji.