Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
azam hata ikimnunua mesi na ronaldo hawawezi kuwa bora kuliko simba na yanga. never.Azam fc wameamua msimu ujao kufanya makubwa kwenye mashindano yote watakayo shiriki.
Baada ya kupata sain ya mchezaji nyota feisal, sasa mmiliki wa azam fc tajiri yusuph bakhresa matamanio yake yameamia kwa nyota wawili wa yanga sc, mayele pamoja na diara.
Tajiri huyo ameapa kuwa iwe iwavyo nyota hao watatua azam fc dirisha hili la usajili.
View attachment 2650241
Kwani ni kocha gani AZAM aliwahi kuchukua domestic treble?(makombe matatu ya mashindano ya ndani ya nchi ndani ya msimu mmoja), au hata kufika semifinal ya CAF?Huyo Nabi umesema wewe, nmesema watafute coach wa kudumu Nabi bila kuvumiliwa hakuna mtu angejua ubora wake unataka kuniambia katika makocha sita waliopita Azam ndani ya misimu miwili hakuna mwenye uwezo wa Nabi?
NakaziaWeka clip ikionesha anavo apa kuwachukua hao wachezaji
Amchukue na Nabi pia kama anaweza. Hivi Azam kocha ni nani?
Refer; Sure boy, Mudathir, Manula na wenzie. Waliofeli na Azam japo walikotoka walikuwa wakali: Singano, Ngasa, Kavumbagu, Chirwa, Ajibu na wengineo wengi tuAkiona vyaelea ajue vimeundwa.
Hiyo ni kazi nzuri ya professeri NABI.
Asitegemee akiwachukua ndio watakuwa Kama walivyo.
Kuperform kwa mchezaji Kuna factor nyingi.
Amechukua wangapi kutoka Yanga wakifika huko wanakua wa kawaida.
Wakati wachezaji wao wakitoka kwenda Simba au Yanga wanakua assets.
Myb umenisoma vibaya maana yangu ni kwamba Azam FC hata wakimpata Nabi wampe mda kama Yanga walivyo fanya sio miezi 3 wanataka wawe kama Yanga haiwezekaniKwani ni kocha gani AZAM aliwahi kuchukua domestic treble?(makombe matatu ya mashindano ya ndani ya nchi ndani ya msimu mmoja), au hata kufika semifinal ya CAF?
Mpe Nabi heshima yake ya lazima.
Nilimsahau na Domayo FrankRefer; Sure boy, Mudathir, Manula na wenzie. Waliofeli na Azam japo walikotoka walikuwa wakali: Singano, Ngasa, Kavumbagu, Chirwa, Ajibu na wengineo wengi tu
Jamaa yangu mimi ubishani wa kijinga hua siwezi unatoa mifano ambayo haiendani tufanye umeshindaKwa hiyo wewe uliamini Al Ahly walivyomsajili Miquoson kulikuwa hakuna mchezaji yeyote pale Al Ahly mwenye uwezo wa Miquoson?
Wewe ndio unapenda ubishani kwa kuketa mifano ya kijinga.Jamaa yangu mimi ubishani wa kijinga hua siwezi unatoa mifano ambayo haiendani tufanye umeshinda
ha ha ajaribuAzam fc wameamua msimu ujao kufanya makubwa kwenye mashindano yote watakayo shiriki.
Baada ya kupata sain ya mchezaji nyota feisal, sasa mmiliki wa azam fc tajiri yusuph bakhresa matamanio yake yameamia kwa nyota wawili wa yanga sc, mayele pamoja na diara.
Tajiri huyo ameapa kuwa iwe iwavyo nyota hao watatua azam fc dirisha hili la usajili.
View attachment 2650241
Nlicho comment ni nini kama sio una rudia maneno yangu? huo ubora uanao muona nao Nabi alipewa mda? nmesema Azam FC wakae na coach kwa mda at least two seasons sio kila siku kufukuza makocha unakija na mifano ambayo haiendani huyo Msenegali sio mjinga kama hawa makocha wetu umeletee mtu wanalingana CV awe msaidizi wake na hizo habari za kuhonga ni ujinga tu huwezi kuhonga timu zote za ligi na nje saa zingine tuheshimu ubora wa mpinzaniWewe ndio unapenda ubishani kwa kuketa mifano ya kijinga.
Azam wametambulisha kocha kutoka Senegal hata miezi miwili hajamaliza, lakini hiyo haiwafanyi walizike na kuona eneo la coaching limerekebishwa.
Wanaweza kumsajili kocha ambaye ni bora kuliko huyu, then huyu msenegal abakie kuwa assistant coach.
Sasa kuja na hoja za kusema hakuna coach mwenye uwezo kama fulani hapo unakuwa hujui ulimwengu wa mpira.
Kwenye ulimwengu wa soka zipo mbinu nyingi ambazo zinatumika kufanya Club ifikie malengo yake.
Badala ya kuhonga timu kupanga matokeo nje ya uwanja, Club inaweza kusajili kwa lengo hata la kupunguza makali ya mpinzani, yani nikiona hapo Gongowazi msumbufu ni Nabi, namsajili Nabi nawaacha muendelee kutaabika.
Mwambie huyo yusuf, mayele na diarra hawatoki kibanda maiti wala mchamba wima, kwa hiyo, kwa hawa wachezaji, hakuna assist. Itabidi afunge mwenyeweAzam fc wameamua msimu ujao kufanya makubwa kwenye mashindano yote watakayo shiriki.
Baada ya kupata sain ya mchezaji nyota feisal, sasa mmiliki wa azam fc tajiri yusuph bakhresa matamanio yake yameamia kwa nyota wawili wa yanga sc, mayele pamoja na diara.
Tajiri huyo ameapa kuwa iwe iwavyo nyota hao watatua azam fc dirisha hili la usajili.
View attachment 2650241
Two seasons ndio falsafa ya wapi hiyo?Nlicho comment ni nini kama sio una rudia maneno yangu? huo ubora uanao muona nao Nabi alipewa mda? nmesema Azam FC wakae na coach kwa mda at least two seasons sio kila siku kufukuza makocha unakija na mifano ambayo haiendani huyo Msenegali sio mjinga kama hawa makocha wetu umeletee mtu wanalingana CV awe msaidizi wake na hizo habari za kuhonga ni ujinga tu huwezi kuhonga timu zote za ligi na nje saa zingine tuheshimu ubora wa mpinzani