Yusuph Bakhresa amesema bado Mayele na Diara amalize kazi

Yusuph Bakhresa amesema bado Mayele na Diara amalize kazi

Ahsanta mzenji...hakika umetuheshimisha Wana lamba lamba fc,halafu iwe somo kwa wadanganyika wote sisi wazenji ndio kila kitu.
 
Two seasons ndio falsafa ya wapi hiyo?

Two seasons maana yake ni two seasons of nothing

Sasa huyo ni kocha au anaitumia Club kama tuition sehemu ya kujiendeleza kielimu?

Zoran Mack ukiangalia hana record ya kumaliza msimu kwenye Club yeyote, mara nyingi hutimuliwa kufuatia muendelezo wa matokeo mabaya.

Ukiwa na mawazo kama yako maana yake ukisubiri misimu miwili, itakuwa ni misimu miwili ya kutoka patupu.

Timu zinaposajili kocha zinamkabidhi malengo ya Club, mwenendo wa matokeo mabuvu uwanjani ni sababu moja wapo inayofanya ushindwe kufikia lengo.
Uelewa wako ni mdogo sana unaongozwa na ujuaji kwenye mpira falsafa ni ya coach au taasisi? Klop aliomba mda gani pale Liverpool? naomba nikuache na ujinga wako
 
Kwa hiyo wewe uliamini Al Ahly walivyomsajili Miquoson kulikuwa hakuna mchezaji yeyote pale Al Ahly mwenye uwezo wa Miquoson?
Kwa hiyo wewe unaamini sababu za Ahly kumsajili miquison ndizo hizi za Azam kumsajili Feisal?
 
Uelewa wako ni mdogo sana unaongozwa na ujuaji kwenye mpira falsafa ni ya coach au taasisi? Klop aliomba mda gani pale Liverpool? naomba nikuache na ujinga wako
Sio ujuaji ila wewe unataka nikubali maqazo yako ambayo ni ya uongo

Club ya mpira sio daycare inaposajili kocha haiwezi kutegemea kupata mafanikio baada ya misimu miwili.
 
MO aondoke atuachie timu yetu, hasipoondoka tunasusia bidhaa zake tunahamia kwenye bidhaa za Azam
 
Sio ujuaji ila wewe unataka nikubali maqazo yako ambayo ni ya uongo

Club ya mpira sio daycare inaposajili kocha haiwezi kutegemea kupata mafanikio baada ya misimu miwili.
Nmekuuliza Klop aliomba mda gani? Nakuongeza Arteta, Ten Haag hata Nabi kama una fatilia mpira mwisho Robertinho wa Simba alisema anahitaji mda gani?
 
Nmekuuliza Klop aliomba mda gani? Nakuongeza Arteta, Ten Haag hata Nabi kama una fatilia mpira mwisho Robertinho wa Simba alisema anahitaji mda gani?
Naona umeng'ang'ana na Klopp kama hoja ya msingi lakini unasahau malengo ya Club wakati wanamkabidhi timu yalikuwa ni nini..

Klopp alisema ili aweze kupata Trophie anahitaji miaka minne means ni makubaliano yaliyoafikiwa na timu ambayo wakaona ni fair yapo kwenye malengo yao.

Lakini ubora wa kocha unaonenekana kupitia progress, mwenendo wa matokeo kwenye Club ulionesha mwanga wa hicho alichokuwa anakiahidi.

Angalia Klopp ameikuta Liverpool katika nafasi gani kwenye table na baada ya yeye kuingia alionesha mabadiliko gani kwenye msimu uliofuata?

Na ndio maana hata saizi ukiangalia katika list ya makocha EPL waliodumu kwa muda mrefu utamuona Klopp on top.

Huko huko EPL kuna kocha mreno alikuwa anainoa Tottenham alifukuzwa miezi minne baada ya mfululizo wa matokeo mabovu.

Steve wigley wa Southampton alitimuliwa baada ya kudumu kwa miezi mitatu na wiki mbili.

Kwahiyo unataka kuniambia hizi Club hazijui kuwa kuna muda wa kumpa kocha ajiandae ili aiweke vizuri timu?
 
Nmekuuliza Klop aliomba mda gani? Nakuongeza Arteta, Ten Haag hata Nabi kama una fatilia mpira mwisho Robertinho wa Simba alisema anahitaji mda gani?
Naona umeng'ang'ana na Klopp kama hoja ya msingi lakini unasahau malengo ya Club wakati wanamkabidhi timu yalikuwa ni nini..

Klopp alisema ili aweze kupata Trophie anahitaji miaka minne means ni makubaliano yaliyoafikiwa na timu ambayo wakaona ni fair yapo kwenye malengo yao.

Lakini ubora wa kocha unaonenekana kupitia progress, mwenendo wa matokeo kwenye Club ulionesha mwanga wa hicho alichokuwa anakiahidi.

Angalia Klopp ameikuta Liverpool katika nafasi gani kwenye table na baada ya yeye kuingia alionesha mabadiliko gani kwenye msimu uliofuata?

Na ndio maana hata saizi ukiangalia katika list ya makocha EPL waliodumu kwa muda mrefu utamuona Klopp on top.

Huko huko EPL kuna kocha mreno alikuwa anainoa Tottenham alifukuzwa miezi minne baada ya mfululizo wa matokeo mabovu.

Steve wigley wa Southampton alitimuliwa baada ya kudumu kwa miezi mitatu na wiki mbili.

Kwahiyo unataka kuniambia hizi Club hazijui kuwa kuna muda wa kumpa kocha ajiandae ili aiweke vizuri timu?
 
Azam hata achukue wachezaji ote wa yanga na ubora wao.wakimkosa kocha kama nabi, hawafiki popote.
Azam wakitaka wamchukue nabi kwanza.
 
nao watawanunua kama taratibu zinavyosema au ndio wataenda kusemelea kwa Mama?


namkumbusha Msomali …Mama kakataza kugombana na watoto
 
Back
Top Bottom