The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Tuishi tukijuwa ya kuwa sisi sote ni wapitaji tu hapa DunianiEverything is temporary,we're all gonna return to dust one day,
I don't think anybody can ever understand life,it feel more pointless,what's the point in living?
R.I.P Yusuphu.
Huyu ni chawa anaelekea kuwa kunguni Sasa!Gazeti limeandika "Florida" vizuri tu wewe unaweka ufundi wako unaandika "Frorida" hadi kero kusoma hilo jina.
Hata hivyo umesahau kumsifu mama yako kwa kufanikisha mazishi haya kufanyika kwa wakati huko Marekani.
R.I.P YusufNdugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.
Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.
Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wengine mna matatizo makubwa sana.yaani naleta habari halafu unaanza kusema mimi chawa.Huyu ni chawa anaelekea kuwa kunguni Sasa!
Tuishi tukijuwa ya kuwa sisi sote ni wapitaji tu hapa Duniani
Habari ya msiba unachanganya na uchawa wako wewe ni mzima kichwani kweli?Ndugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.
Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.
Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha ukabila mkuu,alikuwa muhindi lkn na fisadi btw. madeni yetu alilipa au nani mrithi wa madeni ayalipie ..
Acha ukabila mkuu,
Kumchukia tajiri tena ambaye hayupo Duniani hukuwezi kuyafanya maisha yako kua na nafuu,acha chuki pambana.
Umeongea ukweli kabisaR.i.p japo mimi ni simba mchango wako kwa soka ulikuwa mkubwa sana engineer pale bwawani kwenu walau kwa miaka 5 ijayo paiteni hata manji stadium kuuenzi mchango wake baadae mtapatafutia jina jipya
Ushimen pole kwa safari kiongozi. Natumai utawah maziko ya classmate wako.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.
Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae.na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.
Apumzike kwa Amani , Mungu amuangazie Mwanga wa milele.View attachment 3030522
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jamaa itakuwa ameshaupata ukuu wa malaika kama alivyosema kwa hiyo Manji kibano na huko kipo pale paleKamfuata magu huko alipo wazichape
Ndio shida ya watu wenye roho za kishetani.hata kubarikiwa ni ngumu sanaAcha ukabila mkuu,
Kumchukia tajiri tena ambaye hayupo Duniani hukuwezi kuyafanya maisha yako kua na nafuu,acha chuki pambana.
Manji anaenda kuchezea kichapo tena?Jamaa itakuwa ameshaupata ukuu wa malaika kama alivyosema kwa hiyo Manji kibano na huko kipo pale pale
Ndio maana tunasemaga akili huna! Wewe umeona kabisa pameandikwa Florida, wewe unaandika frorida. Yani huna ata basic skills za comprehension. Ndio maana kutwa kuandika ujingaujinga huna uwezo wa kuelewa vitu.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani.
Hiyo ni kwa mujibu wa mwanae na atazikwa pembezoni au karibu na kaburi la Baba yake.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.
Apumzike kwa Amani, Mungu amuangazie Mwanga wa milele.
View attachment 3030522
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.