Mi si muumini wa ngonjera na kuelewa kwa haraka, nadhani nina tatizo kubwa.
Kwani kuishi nyumba ya kumpanga ndio inakufanya usiwe tajiri huyo dogo ana nyumba nyingi hapa mjini kapangisha nyingine zipo Tandale magomeni mapipa, Mbagala alafu mpunga wote kamwachia mama yake ndio anachukua kodi zote. Ukiacha hivyo kamwachia nyumba mama yake mzazi madale alafu kawapa watoto wake umiliki Tiffa na dyllan ile nyumba ya South Africa.Mi si muumini wa ngonjera na kuelewa kwa haraka, nadhani nina tatizo kubwa.
Mtu aliyeishi nyumba moja na mama'ake kwa miaka kadhaa, Mario wa mama'ake humo humo, dada'ake na mume wa dada'ake humo humo, akaamua kwenda kupanga nyumba za wenzake HUKU mashabiki zake wakisema ana zaidi ya BILIONI moja, wakazidi kusema anamiliki kiwanda cha zile karanga, pafyumu na media company, kisha akanunua gari la zaidi ya bilioni moja, na sasa ananunua ndege sijui pesa ngapi ILA swali la msingi, ANAISHI WAPI na kwanini?
HahahahAitoe ya nini sasa? Mwezi mzima mtu yukk mbele unataka ukaiendeshe wewe
Fikiria upya bingwa, ukiacha ushabiki utaelewa nilichosema.Kwani kuishi nyumba ya kumpanga ndio inakufanya usiwe tajiri huyo dogo ana nyumba nyingi hapa mjini kapangisha nyingine zipo Tandale magomeni mapipa, Mbagala alafu mpunga wote kamwachia mama yake ndio anachukua kodi zote. Ukiacha hivyo kamwachia nyumba mama yake mzazi madale alafu kawapa watoto wake umiliki Tiffa na dyllan ile nyumba ya South Africa.
Ukiacha hivyo ana gari nyingi za thamani Roll royce ambayo ina uzwa 1.5B cardiac anazo mbili ambazo si chini ya 600M kila moja na magari nyingine hiyo kauli ya kun'gan'gania amepanga kwa maisha yake aliyonayo huo ujeuri unapata wapi? by the way yeye mwenyewe amesema hiv amepanga ile nyumba ya mbezi kwasababu ni karibu na ofisi yake ya Wasafi media wakati akiendelea hapo kuna ujenzi wa mjengo wa ndoto yake unaendelea ambayo inaendana na hadhi yake
HayabwanaWeek ijayo star wa Bongo Flavor Diamondplatnumz anatarajia kupokea ndege yake inayotokea nchini Canada [emoji1063]
Diamond platnumz ameamua kuonyesha umafya kwamba hakuna kama yeye East Africa
Kwa hili lazima anaendelee kuchukiwa
POVUUUU mzebaba hii ni OMO au kreesoft 😁😁. Dogo pesa anayo mzebaba mbona mikataba ya ile wasafi tv & redio iliwekwa wazi dogo anamilia asilimia kibao tu.Fikiria upya bingwa, ukiacha ushabiki utaelewa nilichosema.
Hakuna kupanga kama una pesa na maisha yako yote ni DAR ES SALAAM. Hakuna! Nyumba anazo, na ni za kawaida tu za kupangisha tsh 300,000 kwa mwezi na ni Tandale na sio kama hivyo usemavyo eti nyingi tu.
Hana uwezo wa kumiliki hata NYUMBA ya milioni 800 full stop, sema anatumiwa kutakatisha pesa za tycoons wa poda na si vinginevyo, gari haina jina lake bado mnatetea habari za ujinga kuwa anamiliki kituo chote.
Wakina Messi na wafananao ndo wanakaa nyumba hii na ile kwakuwa wanahama toka hapa kwenda kule ingawa hata huko waendako wananunua nyumba hizo na SIO kupanga.
Ananunulia vimada used car, yeye mwenyewe ananunua used car, acheni UCHAWA usio na tija.
[emoji23][emoji23][emoji23] unajua sitaki stress. Huyo king'asti ana kesi ya utapeli. Hivyi vitu siyo bidhaa zao. Wao ni brand names zao tu zinatumika.Mi si muumini wa ngonjera na kuelewa kwa haraka, nadhani nina tatizo kubwa.
Mtu aliyeishi nyumba moja na mama'ake kwa miaka kadhaa, Mario wa mama'ake humo humo, dada'ake na mume wa dada'ake humo humo, akaamua kwenda kupanga nyumba za wenzake HUKU mashabiki zake wakisema ana zaidi ya BILIONI moja, wakazidi kusema anamiliki kiwanda cha zile karanga, pafyumu na media company, kisha akanunua gari la zaidi ya bilioni moja, na sasa ananunua ndege sijui pesa ngapi ILA swali la msingi, ANAISHI WAPI na kwanini?
Kuna Vishu Mtata, mueleweshe unachoelewa, pengine utasaidia kupunguza stress miss, hawaelewi hawa viumbe nakwambia.[emoji23][emoji23][emoji23] unajua sitaki stress. Huyo king'asti ana kesi ya utapeli. Hivyi vitu siyo bidhaa zao. Wao ni brand names zao tu zinatumika.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Waache wapelekwe na maisha ya kideoKuna Vishu Mtata, mueleweshe unachoelewa, pengine utasaidia kupunguza stress miss, hawaelewi hawa viumbe nakwambia.
Kwajinsi ulivyojibu nimegundua kitu kimoja wewe una wivu basi hakuna Cha ziadaFikiria upya bingwa, ukiacha ushabiki utaelewa nilichosema.
Hakuna kupanga kama una pesa na maisha yako yote ni DAR ES SALAAM. Hakuna! Nyumba anazo, na ni za kawaida tu za kupangisha tsh 300,000 kwa mwezi na ni Tandale na sio kama hivyo usemavyo eti nyingi tu.
Hana uwezo wa kumiliki hata NYUMBA ya milioni 800 full stop, sema anatumiwa kutakatisha pesa za tycoons wa poda na si vinginevyo, gari haina jina lake bado mnatetea habari za ujinga kuwa anamiliki kituo chote.
Wakina Messi na wafananao ndo wanakaa nyumba hii na ile kwakuwa wanahama toka hapa kwenda kule ingawa hata huko waendako wananunua nyumba hizo na SIO kupanga.
Ananunulia vimada used car, yeye mwenyewe ananunua used car, acheni UCHAWA usio na tija.
La dingi yako Lina vipelevipele Ila ninalimwagia Ile gundi kila sikusoon litakua nyororo.
Hongera kwake
Wanaume wanabishana mwanaume mwenzao kanunua ndege [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mi si muumini wa ngonjera na kuelewa kwa haraka, nadhani nina tatizo kubwa.
Mtu aliyeishi nyumba moja na mama'ake kwa miaka kadhaa, Mario wa mama'ake humo humo, dada'ake na mume wa dada'ake humo humo, akaamua kwenda kupanga nyumba za wenzake HUKU mashabiki zake wakisema ana zaidi ya BILIONI moja, wakazidi kusema anamiliki kiwanda cha zile karanga, pafyumu na media company, kisha akanunua gari la zaidi ya bilioni moja, na sasa ananunua ndege sijui pesa ngapi ILA swali la msingi, ANAISHI WAPI na kwanini?
Kwani kuishi nyumba ya kumpanga ndio inakufanya usiwe tajiri huyo dogo ana nyumba nyingi hapa mjini kapangisha nyingine zipo Tandale magomeni mapipa, Mbagala alafu mpunga wote kamwachia mama yake ndio anachukua kodi zote. Ukiacha hivyo kamwachia nyumba mama yake mzazi madale alafu kawapa watoto wake umiliki Tiffa na dyllan ile nyumba ya South Africa.
Ukiacha hivyo ana gari nyingi za thamani Roll royce ambayo ina uzwa 1.5B cardiac anazo mbili ambazo si chini ya 600M kila moja na magari nyingine hiyo kauli ya kun'gan'gania amepanga kwa maisha yake aliyonayo huo ujeuri unapata wapi? by the way yeye mwenyewe amesema hiv amepanga ile nyumba ya mbezi kwasababu ni karibu na ofisi yake ya Wasafi media wakati akiendelea hapo kuna ujenzi wa mjengo wa ndoto yake unaendelea ambayo inaendana na hadhi yake
Fikiria upya bingwa, ukiacha ushabiki utaelewa nilichosema.
Hakuna kupanga kama una pesa na maisha yako yote ni DAR ES SALAAM. Hakuna! Nyumba anazo, na ni za kawaida tu za kupangisha tsh 300,000 kwa mwezi na ni Tandale na sio kama hivyo usemavyo eti nyingi tu.
Hana uwezo wa kumiliki hata NYUMBA ya milioni 800 full stop, sema anatumiwa kutakatisha pesa za tycoons wa poda na si vinginevyo, gari haina jina lake bado mnatetea habari za ujinga kuwa anamiliki kituo chote.
Wakina Messi na wafananao ndo wanakaa nyumba hii na ile kwakuwa wanahama toka hapa kwenda kule ingawa hata huko waendako wananunua nyumba hizo na SIO kupanga.
Ananunulia vimada used car, yeye mwenyewe ananunua used car, acheni UCHAWA usio na tija.