wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Karibu upakwe gundi kamasi Kama Jana mtoto mzuri.Sawa mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu upakwe gundi kamasi Kama Jana mtoto mzuri.Sawa mrembo
POVUUUU mzebaba hii ni OMO au kreesoft [emoji16][emoji16]. Dogo pesa anayo mzebaba mbona mikataba ya ile wasafi tv & redio iliwekwa wazi dogo anamilia asilimia kibao tu.
Na gari limekuja kwa jina la kampuni anayomiliki yeye sio wasafi tv & redio bali ni ile wasafi ent. anayomiliki yeye.
Anapiga shows analipwa, anaimba analipwa, anapewa matangazo kibao kama ya pepsi na kutangaza rangi zile analipwa pesa ndefu. Punguza makasiko mzee utakufa siku si zako shauri yako.
[emoji23][emoji23][emoji23] unajua sitaki stress. Huyo king'asti ana kesi ya utapeli. Hivyi vitu siyo bidhaa zao. Wao ni brand names zao tu zinatumika.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kwajinsi ulivyojibu nimegundua kitu kimoja wewe una wivu basi hakuna Cha ziada
Week ijayo star wa Bongo Flavor Diamondplatnumz anatarajia kupokea ndege yake inayotokea nchini Canada [emoji1063]
Diamond platnumz ameamua kuonyesha umafya kwamba hakuna kama yeye East Africa
Kwa hili lazima anaendelee kuchukiwa
Kama Rozi Rozi tu ilichukua miaka 7 basi ndege tutarajie kuja kushuka 2050.
Una Wivu fala wewe
Kupata hako kainternship wajiona uko kwa ajira we dogo 😁😁.Majobless ndo wanaocomment ujinga always
Ukiendelea kumjibu unampa anachotaka, hayuko level yako kama ume-notice, anabwata kujipa umaarufu humu ila imeshindikana. Anaye bweka akiwa na kamba shingoni hana madhara.Huo Ndiyo Ukweli wewe GASHO.......Wivu wa nini? Anunue au asinunue haipungizi chochote kwangu.
Samahani mkuu, wewe wa kike ama wa kiume. Mpaka natetemeka. We mpunga nini?Hivi wewe dada umeoga kweli
Ya bibi yake kutoka kigoma au?
Samahani mkuu, wewe wa kike ama wa kiume. Mpaka natetemeka. We mpunga nini?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ukiendelea kumjibu unampa anachotaka, hayuko level yako kama ume-notice, anabwata kujipa umaarufu humu ila imeshindikana. Anaye bweka akiwa na kamba shingoni hana madhara.
Kupata hako kainternship wajiona uko kwa ajira we dogo [emoji16][emoji16].
Em wachana na mitandao muda wote kamnunulie bosi mihogo.
Huo Ndiyo Ukweli wewe GASHO.......Wivu wa nini? Anunue au asinunue haipungizi chochote kwangu.