ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Ivi jaguar yule msanii wa kenya yake kaiuza au bado ipo??Ndege si bei ghali tatizo ni maintanance cost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi jaguar yule msanii wa kenya yake kaiuza au bado ipo??Ndege si bei ghali tatizo ni maintanance cost
Hilo ni kweli kwenye udaku tupo vizuri, ila kuna watu wataumia Cyberbullying.Mi nachojua mange anaenda vuna pesa nyingi tu za wabongo maana kwenye maisha yetu umbea kwanza
Ile Cessna itakuwa ipoIvi jaguar yule msanii wa kenya yake kaiuza au bado ipo??
Ile Cessna itakuwa ipo
Hilo ni kweli kwenye udaku tupo vizuri, ila kuna watu wataumia Cyberbullying.
Leo tarehe 12 ndege imefika wapi??Week ijayo? Tunaisubiri
MsataLeo tarehe 12 ndege imefika wapi??
Leo tarehe 12 ndege imefika wapi??
Kwa hiyo mtoto umeshazama mzima mzima kama kawaida yenu!!!Tatizo lenu fans, is that your full of negative thoughts.
Huyo ni chawaYaani una akili finyu sana kijana, sawa Diamond atanunua hiyo ndege for himself na familia yake, wewe unafaidika na nini?
Sawa mkuu nitarudi december 1 kuiona, naimani itakuwa imefikaKijana watu wanaenda kwa plan wanasubiri kwanza issue ya Ray na Maluma ipoe Then ndo iletwe cz wakileta sasa hivi Topic itakuwa ni Ndege tu na Ujue bosss chibu yupo SA
Bado App haijaanza ila wewe umeshaona ni 80% ya contents zote?Akili za Mange na H baba, kuna uwezekano hata akinunua nyumba mtasema used.
Na sasa hivi Mange ana app, 80% ya ya contents ya app yake itakuwa maisha ya Diamond na familia yake na WCB nzima, yaani kwa kifupi hiyo app ya Mange ni sawa na kusema ya WCB.Ila kumchukia mtu husiye mjua kipaji na Mange kipaji hiko anacho na bahati mbaya anawaambukiza wengine.
Wengine anaogopa kuwasema sababu marafiki zake.
Ndio maana nimesema "itakuwa......." najua app bado, ila ikikamilika 80% ya contents ZITAKUWA za Diamonds ,familia yake,watoto na ma-Ex wake pamoja na wasanii wa kwenye label yake.Bado App haijaanza ila wewe umeshaona ni 80% ya contents zote?
Hii hapa ni mdau aliccoment kumuuliza kama amemwona bi tukinao. Hilo ndo jibu lake. Na alidai ameona ila alimpotezea. Dai ameshapotea hakika. Peak yake imeshuka of which is normal..Ndio maana nimesema "itakuwa......." najua app bado, ila ikikamilika 80% ya contents ZITAKUWA za Diamonds ,familia yake,watoto na ma-Ex wake pamoja na wasanii wa kwenye label yake.
Sasa nione mara ngapi wakati mange maswala ya Diamond anaya valia kibwebwe, Mange tokea nianze kumfahamu watu aliokuwa akiwaandama ni Makonda, Magu na Diamond, Magu hayupo, Makonda yupo nje ya siasa aliyebakia ni Mondi.
Mfano [emoji116][emoji116]
View attachment 2010487
Mange kumpotezea Dai hawezi na hatoweza.Hii hapa ni mdau aliccoment kumuuliza kama amemwona bi tukinao. Hilo ndo jibu lake. Na alidai ameona ila alimpotezea. Dai ameshapotea hakika. Peak yake imeshuka of which is normal..
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kapoteaje na kila siku tunamuona mkuu?Hii hapa ni mdau aliccoment kumuuliza kama amemwona bi tukinao. Hilo ndo jibu lake. Na alidai ameona ila alimpotezea. Dai ameshapotea hakika. Peak yake imeshuka of which is normal..
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app