miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Mbona wanilisha maneno. Nani amesema Mange amenpoteza dai? Nachosema ni, kila kitu kina wakati wake na wakati huisha. Dai wa sasa si yule. Peak yake ilishapita. Unachokataa ni nn? Kila mtu ana peak yake.Mange kumpotezea Dai hawezi na hatoweza.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app