dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
🤔Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Kuna daktari alishauri nguvu inayotumika kudhibiti corona tungeitumia kupambana na magonjwa nyemelezi, tusingekuwa na hofu ya uvikoAlichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Hujaelewa? Amechanjwa lkn kuchanjwa kwake hakuzuii kufa kwa corona sababu alikuwa na maradhi mengineHiki umeandika nini?
Ni covid ndg yale wa Karibu alithibitisha hilo usiku ule ule alipofarikiKumbe mzee mzima katembea kwa Covid19
HakuchanjaaAlichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Umepata habari hizi wapi?Hakuchanjaa
Kama alichanja akiwa Kenya basi huenda alichomwa maji tu na siyo chanjo.Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Kwamba chanjo zinafanya kazi? The facts are, admitted patients, more than 50% are full vaccinated. Kinachoshangaza, watalaam hawataki kukiri ubutu wa ma chanjo yaoKama alichanja akiwa Kenya basi huenda alichomwa maji tu na siyo chanjo.
Wakati wachezaji wa simba wakwenda kuchanjwa tayari hans alikuwa amelazwaWana bodi salaam.
Hans Pope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, alifariki dunia wiki iliyopita na kuacha simanzi kwa wapenzi wa mpira, club ya simba, mashabiki na kubwa zaidi familia yake.
Wakati anaumwa na kulazwa, alifanya mahojiano na Maulid Kitenge, na kichwa chake alikiri kuwa amelazwa kwa sababu ya tatizo la covid 19. Lakini natambua kuwa viongozi wa simba na wachezaji, wote walienda Hospital kwa ajili ya chanjo ya uviko 19. Je Hans hakwenda? Hakuchanja? Au ndo sisi ambao tunasubiri kuona effectiveness ya chanjo tuendelee kusubiri? Maana wengi bado tunaona kuchanja ni fashion tu si kwamba kunasaidia kujinga na uviko 19.
Nchi zilizokuwa na mass vaccination, bado maambukizi yako juu na nusu ya waliolazwa ni waliopokea chanjo zote mbili hadi tatu lakini bado gonjwa linasumbua.
Takwimu ziongee
View attachment 1938255
Link:
View attachment 1938255
Mwenye uwezo wa kubadili tittle ni admin pekee mkuu. Lkn ni tofasir yako tu. Leta maoni yakoBadilisha hicho kichwa cha habari..
Una malengo ya kupotosha huu uzi wako.
Unajua wana zaidi ya mwezi wamechanjwa?Wakati wachezaji wa simba wakwenda kuchanjwa tayari hans alikuwa amelazwa
Pia nasikia chanjo inadumu miezi 6 tu,, mliopiga chanjo haipaswi mjisahau na kujichanganya bila barakoa,,Hujaelewa? Amechanjwa lkn kuchanjwa kwake hakuzuii kufa kwa corona sababu alikuwa na maradhi mengine
Chanjo inasaidia nenda kachanje wachcha blah blahWana bodi salaam.
Hans Pope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, alifariki dunia wiki iliyopita na kuacha simanzi kwa wapenzi wa mpira, club ya simba, mashabiki na kubwa zaidi familia yake.
Wakati anaumwa na kulazwa, alifanya mahojiano na Maulid Kitenge, na kichwa chake alikiri kuwa amelazwa kwa sababu ya tatizo la covid 19. Lakini natambua kuwa viongozi wa simba na wachezaji, wote walienda Hospital kwa ajili ya chanjo ya uviko 19. Je Hans hakwenda? Hakuchanja? Au ndo sisi ambao tunasubiri kuona effectiveness ya chanjo tuendelee kusubiri? Maana wengi bado tunaona kuchanja ni fashion tu si kwamba kunasaidia kujinga na uviko 19.
Nchi zilizokuwa na mass vaccination, bado maambukizi yako juu na nusu ya waliolazwa ni waliopokea chanjo zote mbili hadi tatu lakini bado gonjwa linasumbua.
Takwimu ziongee
View attachment 1938255
Link:
View attachment 1938255
Marehemu Hans pope asitumike kisiasa kubusti chanjo ya uviko ,anayeataka achanje asiyetaka asichanje kupanga ni kuchaguaWana bodi salaam.
Hans Pope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, alifariki dunia wiki iliyopita na kuacha simanzi kwa wapenzi wa mpira, club ya simba, mashabiki na kubwa zaidi familia yake.
Wakati anaumwa na kulazwa, alifanya mahojiano na Maulid Kitenge, na kichwa chake alikiri kuwa amelazwa kwa sababu ya tatizo la covid 19. Lakini natambua kuwa viongozi wa simba na wachezaji, wote walienda Hospital kwa ajili ya chanjo ya uviko 19. Je Hans hakwenda? Hakuchanja? Au ndo sisi ambao tunasubiri kuona effectiveness ya chanjo tuendelee kusubiri? Maana wengi bado tunaona kuchanja ni fashion tu si kwamba kunasaidia kujinga na uviko 19.
Nchi zilizokuwa na mass vaccination, bado maambukizi yako juu na nusu ya waliolazwa ni waliopokea chanjo zote mbili hadi tatu lakini bado gonjwa linasumbua.
Takwimu ziongee
View attachment 1938255
Link:
View attachment 1938255
Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Kwa hiyo kuna ulazima wa kuchanja?Hujaelewa? Amechanjwa lkn kuchanjwa kwake hakuzuii kufa kwa corona sababu alikuwa na maradhi mengine