TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
🤔
 
Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Kuna daktari alishauri nguvu inayotumika kudhibiti corona tungeitumia kupambana na magonjwa nyemelezi, tusingekuwa na hofu ya uviko
 
Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Hakuchanjaa
 
Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.
Kama alichanja akiwa Kenya basi huenda alichomwa maji tu na siyo chanjo.
 
Kama alichanja akiwa Kenya basi huenda alichomwa maji tu na siyo chanjo.
Kwamba chanjo zinafanya kazi? The facts are, admitted patients, more than 50% are full vaccinated. Kinachoshangaza, watalaam hawataki kukiri ubutu wa ma chanjo yao
Screenshot_20210915-194945.jpg
Screenshot_20210915-194856.jpg
 
Wana bodi salaam.

Hans Pope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, alifariki dunia wiki iliyopita na kuacha simanzi kwa wapenzi wa mpira, club ya simba, mashabiki na kubwa zaidi familia yake.

Wakati anaumwa na kulazwa, alifanya mahojiano na Maulid Kitenge, na kichwa chake alikiri kuwa amelazwa kwa sababu ya tatizo la covid 19. Lakini natambua kuwa viongozi wa simba na wachezaji, wote walienda Hospital kwa ajili ya chanjo ya uviko 19. Je Hans hakwenda? Hakuchanja? Au ndo sisi ambao tunasubiri kuona effectiveness ya chanjo tuendelee kusubiri? Maana wengi bado tunaona kuchanja ni fashion tu si kwamba kunasaidia kujinga na uviko 19.

Nchi zilizokuwa na mass vaccination, bado maambukizi yako juu na nusu ya waliolazwa ni waliopokea chanjo zote mbili hadi tatu lakini bado gonjwa linasumbua.

Takwimu ziongee

View attachment 1938255

Link:

View attachment 1938255
Wakati wachezaji wa simba wakwenda kuchanjwa tayari hans alikuwa amelazwa
 
Badilisha hicho kichwa cha habari..

Una malengo ya kupotosha huu uzi wako.
 
Hujaelewa? Amechanjwa lkn kuchanjwa kwake hakuzuii kufa kwa corona sababu alikuwa na maradhi mengine
Pia nasikia chanjo inadumu miezi 6 tu,, mliopiga chanjo haipaswi mjisahau na kujichanganya bila barakoa,,
Matajiri wengi walipiga chanjo na wakaachana na tahadhari,, ndo maana wanaondoka sana,
Putin mwenyewe alupiga chanjo, lakini sasa kaji isolate baada ya ku contact na watu wenye corona,,
Vaa barakoa, epuka msongamano
 
Wana bodi salaam.

Hans Pope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, alifariki dunia wiki iliyopita na kuacha simanzi kwa wapenzi wa mpira, club ya simba, mashabiki na kubwa zaidi familia yake.

Wakati anaumwa na kulazwa, alifanya mahojiano na Maulid Kitenge, na kichwa chake alikiri kuwa amelazwa kwa sababu ya tatizo la covid 19. Lakini natambua kuwa viongozi wa simba na wachezaji, wote walienda Hospital kwa ajili ya chanjo ya uviko 19. Je Hans hakwenda? Hakuchanja? Au ndo sisi ambao tunasubiri kuona effectiveness ya chanjo tuendelee kusubiri? Maana wengi bado tunaona kuchanja ni fashion tu si kwamba kunasaidia kujinga na uviko 19.

Nchi zilizokuwa na mass vaccination, bado maambukizi yako juu na nusu ya waliolazwa ni waliopokea chanjo zote mbili hadi tatu lakini bado gonjwa linasumbua.

Takwimu ziongee

View attachment 1938255

Link:

View attachment 1938255

Chanjo inasaidia nenda kachanje wachcha blah blah
 
Wana bodi salaam.

Hans Pope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, alifariki dunia wiki iliyopita na kuacha simanzi kwa wapenzi wa mpira, club ya simba, mashabiki na kubwa zaidi familia yake.

Wakati anaumwa na kulazwa, alifanya mahojiano na Maulid Kitenge, na kichwa chake alikiri kuwa amelazwa kwa sababu ya tatizo la covid 19. Lakini natambua kuwa viongozi wa simba na wachezaji, wote walienda Hospital kwa ajili ya chanjo ya uviko 19. Je Hans hakwenda? Hakuchanja? Au ndo sisi ambao tunasubiri kuona effectiveness ya chanjo tuendelee kusubiri? Maana wengi bado tunaona kuchanja ni fashion tu si kwamba kunasaidia kujinga na uviko 19.

Nchi zilizokuwa na mass vaccination, bado maambukizi yako juu na nusu ya waliolazwa ni waliopokea chanjo zote mbili hadi tatu lakini bado gonjwa linasumbua.

Takwimu ziongee

View attachment 1938255

Link:

View attachment 1938255

Marehemu Hans pope asitumike kisiasa kubusti chanjo ya uviko ,anayeataka achanje asiyetaka asichanje kupanga ni kuchagua
 
Alichanjwa Nairobi, kabla ya Tanzania kuingiza chanjo, Shida ni kwamba alikuwa na other underlying conditions, hivyo chanjo zinasaidia kidogo sana, kama immune zako ziko chini Covid 19 ikipita hata kama umechanja ni bahati kupona. Watu wake wa karibu wanajua hilo. Jiepushe na maradhi mengine, utakuwa safe unapochanjwa.

Hakurudi kupata chanjo ya 2
 
Haina maana ukichanja Uviko ndo unakuwa safe 100% mzee hii ndo unasikiaga homa ya dunia

Na kuna tetesi kitaani ya kwamba ile team ya waunda virus vya Uviko wote washakufa Hivyo kinachofanyika kwa sasa ni wakati mataifa makubwa kupiga deal

Ng'ang'ania kuchaja shekh ili uepuke kifo😀😀
 
Back
Top Bottom