TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

R.I.P Zakaria, ni pigo kwa watani na soka la bongo kwa ujumla!
 
Katika kifo hiki ndio tunaweza kuujua unafiki na uzandiki wa wanahabari wa michezo nchini. Maana macho yatakuwa kwa manara badala ya msiba.
 
Pumzika mwamba ... Tutakutana huko
 
Dah R.I.P ,wana msimbazi tutakukumbuka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…