TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

Bad news hans pope afariki dunia usiku huu
Taarifa kamili baadae
R.I.E.P
giphy.gif
 
Anakufa kila week?
MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji, Zacharia Hans Poppe amefariki Dunia usiku huu katika Hospitali ya Agha Khan alipokuwa akipatiwa matibabu
 
Duh!

Pole kwa familia yake na wanamichezo
 
Kizazi cha enz za nyerere kinaondoka mmoja mmoja kupisha new generations.

Ndio maana kina gulam dewji, bakhressa wameshawaachia watoto waendeshe biashara zao. Wao wanapiga sana ibada wanajiandaa kusepa duniani
Huyu si kizazi cha Nyerere ila baba yake.
 
Back
Top Bottom