Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Daaa R.I.P Kamanda
Hatutakusahau wanamsimbazi Kwa mchango wako!
Hatutakusahau wanamsimbazi Kwa mchango wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Uyu jamaa naskia Kuna kipind alitaka kumpindua nyerere,
Ni kweli?
Mzee Mchonga ni Nyerere ?Jamaa alithubutu kujaribu kumuangusha mzee mchonga, hakuwa mtu wa kawaida!! Wasalimie sana akina afande komandoo tamimu mohamed, mwendo umeumaliza!
Pumzika peponi komredi Zacharia
Unauliza bangi arusha?Mzee Mchonga ni Nyerere ?
Alifanya Nini Mwaka huoInna lillah wainna ilaihyi rajiun.
Pumzika kwa Amani Kapteni Hanspope.
Nitakukumbuka mara kwa mara hasa kwa tukio la mwaka 1982.
Heshima gani mkuu, kwani ina julikana alikuwa na Covid19, kama wiki mbili zilizopita, sasa cjui , ndio imemuondoa au ni kingine!!R.I.PHeshim ani jambo la bure tu
Hii umekosea kuandika au ndo kiswagaRIEP.
Rest In Eternal PeaceHii umekosea kuandika au ndo kiswaga
wakati anaumwa alisema mwenyewe ana uviko alipokuwa amelazwa..Heshima gani mkuu, kwani ina julikana alikuwa na Covid19, kama wiki mbili zilizopita, sasa cjui , ndio imemuondoa au ni kingine!!R.I.P
Hivi hapo matola anaongea lugha gani!?alipatwa na mshtuko baada ya kuskia hawa jamaa ni darasa la 7
View attachment 1932633
nadhani ndio za "ooh yes yes" ooh ok ok"Hivi hapo matola anaongea lugha gani!?
Hii umekosea kuandika au ndo kiswaga
Una uhakikaCovid 19