Ni Mzee asiejielewa ana umri Gani.Huyo mzee kampani yake ni vijana, hanaga kampani ya wazee wenzie.
Maunda alifuata dini ya mama yake ambaye alikuwa mkatoliki. Mzazi mwenzie ni Lutheran na walikuwa wafunge ndoa ya kilutheri nwezi julai hawakubahatikaMzee Zahir zoro ni muislam asiyeuishi uislam. Maunda alibadili dini kuwa mkristo sababu aolewe na alikuwa aolewe ndoa ya kikatoliki hivi karibuni
[emoji23][emoji23][emoji23],Ni Mzee kijana.Huyo mzee kampani yake ni vijana, hanaga kampani ya wazee wenzie.
Nilikutag, walikuwa wanamshambulia mtume huko juuSifahamu dini yake.
Nimeshangaa
Ni mvaa nikabu kama weweSifahamu dini yake.
Mbadili tu wala hakuna makosa yoyote. Hii ni faida aliyotuachia hayati Mwl Nyerere ya undugu na umoja wa waTz. Hata mimi mke wangu nilimbadili na tuko kwenye ndoa miaka 20 hivi sasaNa Mimi nataka nimbadili dini mtoto mmoja hv mashallah
Huyo Mzee ni muungwana sana, lakini kumbe huenda imechangiwa na mama wa marehemu kuwa Mkristo,
La sivyo wa watu wa dini nyingine hupenda kugombea maiti sana wawazike kwa dini zao sijui huwa kwa sababu gani?!
Yani hata kama mwenyewe alishadiriki kubadili dini kwa ridhaa yake lakini kwa watu wengine pangepitwa nakwambia !
Yani pangekuwa na mivutano ya hali ya juu!
Hata Mama'ke Yesu anavaa Nikabu. Tatizo nini?Ni mvaa nikabu kama wewe
Mti weye matunda mengi. Siwashangai wala hawatusumbui hao.Nilikutag, walikuwa wanamshambulia mtume huko juu
Tanzania kuna watu wajinga sana mkuu.Dini yake inakuhusu Nini you are the most stupid person under the sun. Hovyo kabisa
Mama yake Yesu ni myahudi ndio maana alivaa nikabu.Hata Mama'ke Yesu anavaa Nikabu. Tatizo nini?
Kwani picha zake huzioni? Kamvue basi.Mama yake Yesu ni myahudi ndio maana alivaa nikabu.
Sasa na wewe bibi ni myahudi?
Halafu ni "alivaa" sio "anavaa". Kwani huko shule ulienda kusomea ujinga?
Hawajali dini za kuletewa, wanakwenda kusali pale wanapojisikia wako huru.....in short, si wana harakati.Hii familia ya mzee Zahir Zorro ni waumini wa dini gani? Nimeshangaa huu msiba wa Maunda unavyoendeshwa!!
Huwa najifunza unapowajibu watu kutoka na uelewa wako. I wish vijana wapya hapa jf waje wapitie nyuzi uliyowahi kuandika Wasifu wakoKwani picha zake huzioni? Kamvue basi.
Jiulize wewe unaemfanya Yesu "Mungu" wajko wakati biblia ipo wazi katumwa kwa kwa wayahudi tu?