Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Hapo chini umemaliza alienda kusomea ujinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama yake Yesu ni myahudi ndio maana alivaa nikabu.
Sasa na wewe bibi ni myahudi?
Halafu ni "alivaa" sio "anavaa". Kwani huko shule ulienda kusomea ujinga?
Yule Maunda alizaa uheheni huko na mwanamke wa kikristo na kakulia huko Kwa mama yakeHii familia ya mzee Zahir Zorro ni waumini wa dini gani? Nimeshangaa huu msiba wa Maunda unavyoendeshwa!!
Bwana Yesu alipoongea na mwanamke Msamaria pale kisimani alimwambia hivi:Jiulize wewe unaemfanya Yesu "Mungu" wajko wakati biblia ipo wazi katumwa kwa kwa wayahudi tu?
Mti weye matunda mengi. Siwashangai wala hawatusumbui hao.
Akili za maviWe jamaa una akili sana hufai kuishinchi za dunia ya 3 wala ya 2
Sio kweli maunda tangu zamani ni mkristo coz mama yake alikuwa mkristo safi ni sawa na kasim majaliwa na mkewe na wanawe kuna watoto wa majaliwa nasikia wamefata kwa mama, au ummy mwalimu na watoto wake coz mme wake ni mkristo safi so watoto wa ummy wote majina yao yanaashiria ni wakristo
NABII WA UONGO ALIKUFA KWA SUMU K WA KUKATWA MSHIPA WA MOYO ANATUPWA KUZIMU KWA SABABU ALISEMA KAMA QURAN SIYO MANENO YA MUNGU NITAKATWA MSHIPA WA MOYO NA SIKU YA KUFA ALIKATWA MSHIPAMti weye matunda mengi. Siwashangai wala hawatusumbui hao.
Akili zako ni mavi matupuNABII WA UONGO ALIKUFA KWA SUMU K WA KUKATWA MSHIPA WA MOYO ANATUPWA KUZIMU KWA SABABU ALISEMA KAMA QURAN SIYO MANENO YA MUNGU NITAKATWA MSHIPA WA MOYO NA SIKU YA KUFA ALIKATWA MSHIPAWA MOYO KWA SABABU NI MUONGO
Quran ni uongo, na maneno yake yamezuliwa na muandishi wa Quran ni Muhammad Mwenyewe Kwa Ushahidi Huu
QURAN 69:44-46
44)Lau kama angelituzulia baadhi
ya maneno tu.
45)Bila shaka tungelimshika Kwa
mkono wa kulia.
46)Kisha Kwa Hakika tungeli-
mkata "MSHIPA MKUBWA
WA MOYO"
Ushahidi wa kuwa Quran imezuliwa na muhammad upo ktk
SAHIH AL-BUKHARI 4492
Imesimuliwa na Aisha"Mtume katika ugonjwa wake uliomuua, alisema, "O Aisha! Bado Nasikia maumivu yaliyo sababishwa na chakula Nilicho kula Khaybar na Sasa jamani "MSHIPA WANGU MKUBWA WA MOYO UNAKATWA NA SUMU HIYO
Huu ndio Ushahidi tosha kuwa Quran Sio maneno yake Mungu na yamezuliwa na kiapo chake mwenyewe muhamadi kilimmaliza
Akili zako ni mavi matupu
Hapana! ni mvaa vimini. (Mtembea uchi)Ni mvaa nikabu kama wewe
Amekufa akiwa amepata Wokovu heri yake angalau amekuwa mwenye heri.sio kubadili ali ritadi. Hivyo amekufa akiwa Kafiri
Shida ni watu kutotaka kuheshimu maamuzi ya mtu mzima. Mwanao anafata kwa kurithi dini/imani unayofuata mzazi, lakini anapokuwa mkubwa ana uhuru wa kufuata imani anayopenda mwenyewe. Mzee Zorro bila shaka anaheshimu hili.Huyo Mzee ni muungwana sana, lakini kumbe huenda imechangiwa na mama wa marehemu kuwa Mkristo,
La sivyo wa watu wa dini nyingine hupenda kugombea maiti sana wawazike kwa dini zao sijui huwa kwa sababu gani?!
Yani hata kama mwenyewe alishadiriki kubadili dini kwa ridhaa yake lakini kwa watu wengine pangepitwa nakwambia !
Yani pangekuwa na mivutano ya hali ya juu!
Wapi Biblia imesema alitumwa kwa wayahudi tu?Kwani picha zake huzioni? Kamvue basi.
Jiulize wewe unaemfanya Yesu "Mungu" wajko wakati biblia ipo wazi katumwa kwa kwa wayahudi tu?
Ndoa bado,katoa mahali,ndoa ilikuwa iwe septembaNi mme wake walifunga ndoa sio mchumba
Usije ukaikana tu Biblia, soma hiyo...Wapi Biblia imesema alitumwa kwa wayahudi tu?
Bibi unazeeka vibaya. Haya Yohana 3:16 inasema
"Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda Ulimwengu hata akamtoa mwanaye wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele"
Huyo mzee kampani yake ni vijana, hanaga kampani ya wazee wenzie.
Dini yake itakusaidia nini
Mtoto wake anaitwa Hellen maunda zorro sasa unafikili ni dini gani kama sio mkristo
Alizaa uheheninna mwanamke mkristo? Kwahyo alikuwa anasagana?Yule Maunda alizaa uheheni huko na mwanamke wa kikristo na kakulia huko Kwa mama yake
ahsante sana ww mwenye akili nzuri ambae upo macho na ziwa limelala fofofo Una maajabu gani kwa jamii yako?Akili za mavi