Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]apunguze chumvi,Mwenyewe mkavu

Namuona Dstv,
 
Zai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...

Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]
Alinichekesha sana
 

Sasa si ungeweka hata uo uongo wake na sisi tusihamie burundi
 
Hii inatuhusu wale ndugu zangu wa Charambe, buza kwa mama kibonge, kwa mpalange, kwa lulenge, kwa kidagaa, mwakalomba mpaka kwa osama. 😂😂
 
Tulikuwa tunawachangamsha kipenzi 😂😂zai itakuwa ana undugu na@cute wife
Ni dada yake binamu,zai ni mtoto wa shangazi, cute ni wamjomba.....nilikuwa nawatilia live kwenye ule mchangamsho wenu nikasema Aaliyah na upole wake akivamiwa na wenye baby zao ataanza kulia,ila nikajua yupo binamu yake zai nikatulia😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…