Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Attachments

  • FD05D11F-FAFD-4A3F-853B-A8DBEE5CD5AF.jpeg
    140.9 KB · Views: 2
  • 1AE9A00D-AF79-402D-BB5A-51FE8156B55E.jpeg
    51.3 KB · Views: 2
Haya maTozo meeengi uchumi unakuwaje
 
1. Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo;
SWALI:-
Mbona Waathiriwa (wamiliki wa ardhi wanaopisha upanuzi wa barabara) hawajalipwa fidia yao ya kutwaliwa ardhi zao, Je, fedha zilizotengwa kwa ajili ya barabara hii zinaenda kulipa fidia waathiriwa au zinaenda kutumika katika ujenzi wa barabara??? Uthamini wa ardhi tayari ulishafanyika mwaka 2011 na 2012.
Tatizo la fidia pia lipo kwa Barabara ya kutoka Arusha Mjini hadi Kongwa Dodoma, huko uthamini haujafanyika kabisa. Sijui itakuwaje??
 
Watalipwa tuu
 
Watalipwa lini??
Kwa nini hawakulipwa kabla ya kusainiana mikataba hii ya ujenzi??
Siku zote walikuwa wapi tangu mwaka 2012 wakati uthamini wa ardhi ulipofanyika??
Kwani utekelezaji wa mradi umeanza? Samia sio dhulumati kama yule,pesa mtapewa shida Yako ni nini?
 
Leta hoja achana na ngonjera na michambo, kaimbe taarabu huko, huku hupawezi.
kwahiyo hiyo yako ndio hooooojaaaaa?
acha wenge buda this is Tanganyika hata dead man anaweza ongoza kingine hapa sibanduki
acha kujiona mjaaanja kwa jukwaa la politics nikiingia humu kusumbua ni unstoppable,
halafu sikua serious saaaana ndio maana sipendi ligi za kitoto kamanda wangu,
anyway

CCM ni sawa na shamba la migomba ukizalisha ndizi na mgomba huna kazi wanaku
fyekelea mbali!


#boraandazi
#chamachamambuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…