Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Nikikumbuka porojo za gesi nashindwa kuamini km hili ni la ukweli
 
Bhebhe nang'ho, matusi ya nini sasa? Kama imekukera kaa kimya au kajiunge chadema chama cha udini na ukabila. Olenimala nkoi? Au wewe sio wa huku kwetu!!!
Usitumie hilo tundu na ww kujibu hoja
 
Nikikumbuka porojo za gesi nashindwa kuamini km hili ni la ukweli
Samia ndio mkombozi wenu ,gas sio porojo soon Serikali inasaidni GHA na Wakandarasi mradi wa Til.98,

Samia hajui maana ya kufeli,Samia sio mjamaa
 
Ndio kitu gani hicho? Naona mleta mada kajaza porojo nyingi bila kuelezea ni kitu gani hasa hicho.
Soma comments zote utapata ufafanuzi Kwa niliowajibu, vinginevyo hukurnda shule kukua prof google yupo tafuta mwenyewe
 
Huko kwenye Elimu usiseme,hakuna sekta ambayo Rais kaipa msukumo mkubwa kama hiyo,shida yenu hamfuatilii Bajeti za serikali..
Mkuu Choice, nakubaliana nawe na kwa taarifa yako nafuatilia sana maendeleo yatokanayo na bajeti yetu, ila msukumo wa kujenga mabweni hususani kwa watoto wa kike sio mkubwa sana wa kuondoa tatizo la wahanga hawa "watoto wa maskini". Hii inatokana na watoto wa watoa maamuzi ya maendeleo ya Nchi hii wanasoma kama sio shule binasfi basi Nje ya Nchi.
 
Mkuu Choice, nakubaliana nawe na kwa taarifa yako nafuatilia sana maendeleo yatokanayo na bajeti yetu, ila msukumo wa kujenga mabweni hususani kwa watoto wa kike sio mkubwa sana wa kuondoa tatizo la wahanga hawa "watoto wa maskini". Hii inatokana na watoto wa watoa maamuzi ya maendeleo ya Nchi hii wanasoma kama sio shule binasfi basi Nje ya Nchi.
Broo unafahamu kwamba mama anajenga shule za Sekondari za Wasichana Kila Mkoa?

Mabweni yanajengwa sana tuu sema Bado hayatoshelezi.,mfano shule zote za Sequip zinajengwa pamoja na mabweni ya Watoto,Mimi huku niliko nimeona shule Mpya 3 zote Zina mabweni ya wanafunzi wa kike.
 
Broo unafahamu kwamba mama anajenga shule za Sekondari za Wasichana Kila Mkoa?

Mabweni yanajengwa sana tuu sema Bado hayatoshelezi.,mfano shule zote za Sequip zinajengwa pamoja na mabweni ya Watoto,Mimi huku niliko nimeona shule Mpya 3 zote Zina mabweni ya wanafunzi wa kike.
Mkuu nakubali kabisa kwamba kuna msukumo mkubwa wa kujenga shule; tunaziona. Kwa bahati mimi ni mjasiliamali wa kununua mazao huko vijijini; kwa hiyo naona hali halisi ya mateso ya watoto hao wa kike na uhaba mkubwa wa mabweni na hasa ya watoto wa kike. Mchango wangu huu ni kuwa omba Serikali, aidha pamoja na kuwa watendaji wake wengi hawana watoto huko kwenye shule za kata vijijini! lakini nawaomba walitatue suala hili kwa uzito unaostahili.
 
Hizo.ni hesabu za wanasiasa 2 + 2, miwil kabla ya uchaguzi na miwili baada, hata hivyo hongera kwa mama, barabara ya handeni singida ni mihimu sana kwa ustawi wa nandari ya tanga, na nina imani baada ya barabara hiyo kuisha Dp World wataitaka na port ya Tanga.
Tunahitaji pia barabara ya mtwara tandahimba newala masasi kwa ajili ya export ya makaa ya mawe na chuma
 
Yule mwingine alikuwa ni mjinga mmja tuu,ujue Kila siku nawaambia Wajamaa ni watu wapumbavu sana Mkiwa entertain mtaishia kuwa maskini milele.
Wewe unaonekana mtoto sana,huyo unaemwita mjinga ndiyo aliongoza hiyo Wizara ya Ujenzi kwa ufanisi na baada kupewa Urais alifanya makubwa pia,usipende kujifanya unajua sana wakati ni fala tu.
Kwani Samia anachofanya kina upya gani,ata hizo Barabara nyingi zimeandaliwa chini ya Magufuli+Engineer Kijazi+Engineer Mfugale nk.
Na suala la Ujamaa kwa Tanzania lipo kikatiba kama hutaki nenda kafute!
 
Yule mwingine alikuwa ni mjinga mmja tuu,ujue Kila siku nawaambia Wajamaa ni watu wapumbavu sana Mkiwa entertain mtaishia kuwa maskini milele.
Wewe unaonekana mtoto sana,huyo unaemwita mjinga ndiyo aliongoza hiyo Wizara ya Ujenzi kwa ufanisi na baada kupewa Urais alifanya makubwa pia,usipende kujifanya unajua sana wakati ni fala tu.
Kwani Samia anachofanya kina upya gani,ata hizo Barabara nyingi zimeandaliwa chini ya Magufuli+Engineer Kijazi+Engineer Mfugale nk.
Na suala la Ujamaa kwa Tanzania lipo kikatiba kama hutaki nenda kafute!
 
Wewe unaonekana mtoto sana,huyo unaemwita mjinga ndiyo aliongoza hiyo Wizara ya Ujenzi kwa ufanisi na baada kupewa Urais alifanya makubwa pia,usipende kujifanya unajua sana wakati ni fala tu.
Kwani Samia anachofanya kina upya gani,ata hizo Barabara nyingi zimeandaliwa chini ya Magufuli+Engineer Kijazi+Engineer Mfugale nk.
Na suala la Ujamaa kwa Tanzania lipo kikatiba kama hutaki nenda kafute!
Mpaka asimamiwe ndio Ufanisi wake unaonekana,baada ya kujisimamia kaharibh Kila kitu..

Mwendazake Kwa miaka 5 kajengo Barabara zipi za Mikoani zaidi ya tu flyover y
twa hapo Dar?

Angalia mwenzie anavyokimbiza kila sekta
 
Back
Top Bottom