Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya hapo? Mwendazake aliua wangapi? Alifaidi nini?kuuwawa
Anaweza pia kukusababishia ulemavu wa kudumu katika mwili wako, anaweza kukusababisha ukimbilie uhamishoni nje ya nchi, anaweza pia kukuua!Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Ukisha yafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.
Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
Ndiyo maana nimetamani kuwatupia tusi Ila sikuwa siriaz kutukana wapenda matusi nguli wa inji iiWamezoea matusi, hawataweza kuumizwa na tutusi twako.
Mkuu wanakutoa roho pia hilo usisahau.Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Ukishayafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.
Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
Kweli hawaAnaweza pia kukusababishia ulemavu wa kudumu katika mwili wako, anaweza kukusababisha ukimbilie uhamishoni nje ya nchi, anaweza pia kukuua!
Hawa wanasiasa kaa nao mbali kabisa! Maana ni banadamu kwa nje tu. Ila ukiingia ndani ya mioyo yao, aisee ni mbwa mwitu wakali sana.
Nafsi zao zitatuliaWatafaidika na nini?
Msaidie na wewe.nimejifunza asali ni hatare kwa uhuru wa kujieleza kuliko Bunduki
sasa hivi kazi ya kukosoa kaachiwa Mdude
Ndio maana tumeamua wacha Tozo ziwanyoshe kwanza. Wanalia lia tu na mabando na sisi vibomu hatuvumiliiNchi hii watu wanachokipa thamani ni Yanga vs Simba, Conection shoo shoo, umbea, kufatiliana, n.k.
Alifanywa na wanasiasa wa ccm?Muulize Roma kipi alifanywa mpaka ameenda US kuugulia maumivu
Wakishaua mwili hakuna zaidi wawezalo.Baada ya hapo? Mwendazake aliua wangapi? Alifaidi nini?
UsImuogope anayeua mwiliWakishaua mwili hakuna zaidi wawezalo.
HAMna pumziko duniani, nafsi zao zitasumbuka zaidi. Damu yangu itakuwa Juu Yao na pia Juu ya watoto waoNafsi zao zitatulia
Hawajali hiloHAMna pumziko duniani, nafsi zao zitasumbuka zaidi. Damu yangu itakuwa Juu Yao na pia Juu ya watoto wao
SiTaogopa kamwe mauti Wala mateso, ni swala la muda tu. Naisubiri Kundalini iamke ndani yangu nipige tukioHawajali hilo
Kuna faida yoyote wataipata?
Siogopi.NA wewe shujaa Nduna shujaa unaogopa kifo?
Nasikia kuna jamaa wawili, mmoja anaitwa Firauni na mwenziwe Komando hao wapo kwa kuwanajisi wanaume wenzao tu. Aahh kaka Bujibuji Simba Nyamaume, wakikufanya hivyo hutolia kama simba tena utalia kama paka nyauu.Zaidi ya hilo wana nini cha kunifanya?