Zaidi ya Vijana 100 waondoka kwenye mradi wa BBT, sababu yadaiwa hakuna uelekeo

Kwa hiyo hizo mvua ndio zimezuia vijana kupewa mtaji na mashamba kama walivyoahidiwa au? Unamfahamu Chinangali Iko wapi?
 
Bashe ni mtu asiyejitambua mtu wa nadharia na si mtu wa vitendo! Anaacha kuchukua vijana wanaolima na wamezoea kilimo kama maisha yao anaenda kuchukua vijana wa Chuo kikuu! Pumbavu kabisa!
 
Sema zaidi ya UVCCM 100 waondoka mradi wa BBT, huu si walichukuliwa UVCCM nchi nzima?
 
Bashe ni mtu asiyejitambua mtu wa nadharia na si mtu wa vitendo! Anaacha kuchukua vijana wanaolima na wamezoea kilimo kama maisha yao anaenda kuchukua vijana wa Chuo kikuu! Pumbavu kabisa!
Kwanini nae hajaenda kukaa kambini na wale vijana hadi mradi ukomae???.

Ni sawa na hili suala la elimu kwa vijana wetu kwa sasa. Serikali imeamua kuwatengeneza Wajasiriamali kwa wingi badala ya Wataalam.
Wajasiriamali hawa watatofautiana kwenye viwango vya elimu. Yaani
1. Wale watakaohitimu elimu ya Msingi.
2. Wale watakaohitimu elimu ya Sekondari.
3. Wale.watakaohitimu vyuo mbali mbali kwa fani zisizokuwa na tija.
 
Wengi wamerudu na STD's na HIV.
 
Kwahyo hawafanyi lolote muda wote huo? waliwaita kabla hawajamaliza maandalizi kwanini? So walikuwa wanasosholaiziana tuu hapo hapo...majanga haya
 
Kwahyo hawafanyi lolote muda wote huo? waliwaita kabla hawajamaliza maandalizi kwanini? So walikuwa wanasosholaiziana tuu hapo hapo...majanga haya
Wame "sosholaizi"na kuchokana, sasa wanatafuta escaping way!
Kazi za manunguniko hazifiki mahali.
 
Huyu mradi ulianza Kwa mbwembwe ila hapa JF watu walitoa tahadhari wakakebehiwa. Naona Leo mambo yamebadilika.
 
Wanapenda kubet....kilimo na ufugaji sio kazi kwenda na kurudi na furushi la hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…