KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
.,..na kitu chenye ncha Kali...Kwahiyo wamepigwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.,..na kitu chenye ncha Kali...Kwahiyo wamepigwa?
Watu waliona tu,kilimo hawa wanafikiri ni sawa na kukatikaWatanzania ni wachawi na maneno ya watanzania ni ya kichawi. Watu walishasema na kutabiri huu mradi wa BBT hautafanikiwa.
Hao vijana wamekusanywa kwenye hiyo kambi ,wanalima kwa jembe , hamna hata tractors za kawaida , ni wenyewe ndio walisema ,na hata mifumo ya umwagiliaji hamnaHivi hata kwa akili ya kawaida tu, hizo hekari 2000 zakuanzia unaweza kulima kwa jembe la mkono? si zingehitaji vijana kwa malaki? nafikiri tuwe tuna andika kwa logic na sio kwa kufurahisha watu
lakini pia; Kila mradi unahitaji hela nyingi lakini huwezi kusubiri hadi uwe na technologia ya Israeli ndio uanze kilimo
Mradi unaweza kuanza kwa uwezo uliopo kwani hata hao wawekezaji wakubwa kama kule Israel na japani, walianza kidogo kidogo; hawakuamka siku moja waka anza kutumia heavy machinery
Nia njema ya kupiga ilishakamilika kinachotokea sasa ndiyo kilichokuwa kimepangwaBado mimi naamini kuwa, nia ilikuwa njema
Changamoto kubwa ni hizi mvua za Elmino zilizonyesha hapo nyuma; wakulima ndio wanajua madhara yake...
waliopo nyuma ya key board hawawezi kuelewa, watabakia kulaumu tu
Hii nimeandika kutokana na uzoefu wangu kwenye masuaa ya Kilimo!
Utapeli mtupuSiyo uchawi tatizo mradi ni wazo la waziri siyo wizara wala,serikali hapo ndio shida ina maana waziri anaawafundisha watalaamu cha kufanya baada ya wataalamu wamuelekeze waziri nini chakufanya
nakununua magoli ya football , hatari sana nchi hiyo.Wanachoweza ni kujenga stendi za mabus na stadium za michezo..!
Mradi ulionekana toka mwanzo hautafanikowa. Mradi umechukua makada tupu na vijana wa mjini wasiojua hata mahindi yanaonekanaje yakiwa shambani.Watanzania ni wachawi na maneno ya watanzania ni ya kichawi. Watu walishasema na kutabiri huu mradi wa BBT hautafanikiwa.
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Wakulima halisi wenye kazi zao wamewatosa,mna watafuta vijana waliyozoea kushinda kidimbwi ndy muwapeleke shamba,wataweza wapi ???
Ova
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakulima halisi wenye kazi zao wamewatosa,mna watafuta vijana waliyozoea kushinda kidimbwi ndy muwapeleke shamba,wataweza wapi ???
Ova
Huo ni uhujumi uchumiUtapeli mtupu
Tatizo utaratibu uliotumika haukuwa mzuri, walipaswa washirikishwe watu wote kwenye mnyororo wa kilimo (financing, agriculture, market, etc), sasa wao waliishia financing bila kungalia issue za TMX etc. Bashe alikuwa na wazo zuri ila wahuni walimdanganyaWatanzania ni wachawi na maneno ya watanzania ni ya kichawi. Watu walishasema na kutabiri huu mradi wa BBT hautafanikiwa.
Taarifa ya kipumbavu hii.Zaidi ya vijana 100 wa Programu ya Kuwezesha Ushiriki wa Vijana Katika Kilimo Biashara (BBT- YIA) wanadaiwa kuondoka katika kambi ya Chinangali, Dodoma, ambako vijana hao wamekusanywa, wakidai hakuna mwelekeo kambini hapo, huku wakiishutumu Serikali kwa kushindwa kwake kutimiza ahadi ilizotangaza awali.
Kwa mujibu wa taarifa ilizozifikia The Chanzo, mpaka kufikia jioni ya Machi 19, 2024, vijana waliokuwepo kambini hapo ni kati ya 120 na 128 kutoka vijana 268 ambao Serikali imekuwa ikidai kuwepo Chinangali kushiriki kwenye programu hiyo inayokusudiwa kuongeza ajira za vijana milioni tatu na kuongeza ukuaji wa kilimo nchini hadi kufikia asilimia kumi ifikapo mwaka 2030.
“Watu tulioko pale [kambini] mpaka sasa hivi tunafika 134, kati ya watu 268 tuliotakiwa kuripoti, lakini walioripoti ni 261,” alisema mmoja wa viongozi wa vijana hao ambaye The Chanzo imeamua kutotaja jina lake kulinda usalama wake. “Watu wengine waliobaki hawako kwenye kituo, hawako kwenye kituo kwa sababu pale hakuna kinachoeleweka.”
“Wengine wanakuja, wanakaa siku mbili, wanachungulia, wanaondoka, wale wenye uwezo wa kifedha,” aliongeza kijana huyo. “Kwa siku mbili hizi, [Machi 18 na 19], watu wengi wameondoka, tumebaki watu kama 120 hivi. Lakini muda mwingi tunacheza hapo 120 hadi 130. Wengi wamekimbia hali iliyoko pale [kambini].”
Mmoja kati ya vijana walioondoka kambini hapo ameiambia The Chanzo: “Mimi binafsi nimeondoka, kuna mambo yangu nimekuja kufuatilia. Unajua kipindi kile watu wengi tuliondoka kwa sababu hapakuwa panaeleweka hapo ila nitarudi muda si mrefu. Pale kambini kusema ukweli panaboa. Sasa ukae pale ufanye shughuli gani, sasa ukalime shamba la ushirika ambalo hujui hata utavuna nini?”
The Chanzo ilimuuliza Vumilia Zinkankuba, Mratibu wa Programu ya BBT, endapo kama taarifa za vijana kuondoka kambini hapo zina ukweli wowote, ambapo aliomba apewe kwanza chanzo cha taarifa hiyo ndiyo ajibu kama ni za kweli au la.
The Chanzo, hata hivyo, iligoma kufichua watoa taarifa wake kwani kufanya hivyo siyo tu kungewaweka hatarini bali pia ni kwenda kinyume na maadili ya uandishi wa habari yanayosisitiza umuhimu wa kuwaficha watoa taarifa.
The Chanzo
Tulikuwa tu kutokana na utaratibu Kwa umiotumika kuwapata hao vijana. Wengi wao walikuwa watoto ama ndugu wa watumishi wa Halimashauri mbalimbali away makada wa CCMWatanzania ni wachawi na maneno ya watanzania ni ya kichawi. Watu walishasema na kutabiri huu mradi wa BBT hautafanikiwa.