Tetesi: Zaidi ya wafanyakazi 600 yawakuta TPA......

Acha tu mkuu japo sijakata tamaa lakini kuna mambo yanatakiwa angaliwa kwa jicho la huruma sana

Mpaka nilifika iyo hatua ni sababu naona kabisa kama jamaa watakuwa wanafanya michezo kichafu

Alafu cha kufurahisha zaidi unakuta wametangaza post watu 10 wanahitajika ukisoma status ya iyo nafasi unaambiwa mtu mmoja ameshaitwa kazini, ikabidi nianze fatilia status ya post mbali mbali nikaona kama vinavyoandikwa ni vile vile nikaanza ona kuna ujanja ujanja tu apa
 
Hapo ndo unakuta accountant mjomba, HR kaka, manager dingi, secretary Dada yani mpaka raha wote ofisi moja. Mkimaliza kazi mnajadili dinner itakuwa chakula yani home.
 
Hapo ndo unakuta accountant mjomba, HR kaka, manager dingi, secretary Dada yani mpaka raha wote ofisi moja. Mkimaliza kazi mnajadili dinner itakuwa chakula yani home.
Mpaka utoboe hapo.. Mungu anajua. Binafsi nilishawahi kufanya kazi kwenye kampuni moja. Si ya kiserikali.. ni binafsi. Kaka ndio director, manager mke, hr dada, accountant dada.

Yaaan ukimuudhi hata dada, au akakuchukia tu. Kesho huna kazi.
Ni moja ya kampuni zenye uongozi mbaya sana, niliwah kuwaonya kuhusu hilo.

Ndio ninachoona hapa, si kwamba watu hawana qualification, wanazo na zaid, ila uliritimba, undugu, kubebana..
 
pole sana ndugu, tuko kwenye boat moja
 
Wawatimue na darasa la saba.
 
Huwa nafurahi sana taarifa za Mtumishi wa Umma kufukuzwa kazi. Mtu akiwa serikalini anajionaga mungu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jitahidi nawe uingie.
Kazi za serikalini hazina mwenyewe labda URAIS ndo wa WENYEWE CCM
 
kuna jamaa nilikuwa nimemkopesha million 2 nae katimuliwa ndio ishakula kwangu.
 
Hii habari ni ya ukweli, nathibitisha cz kuna ndugu yangu kapeleka vyeti vyake na walitoa ajira kimya kimya, ili watu wasijue, na ni nyingi sana,

Sasa kama wamewafukuza Watu Kazi kwa dhambi ya Kufoji Vyeti vyao je na Wao wanapoajiri Watu Kisirisiri hawaoni kuwa hata Wao wanatenda dhambi ile ile hivyo na Wao wanatakiwa ' Kujifukuza ' tu wenyewe?
 
Kwani mpaka leo ndani ya serikali kulikuwa na wenye vyeti feki??? au darasa la saba hao???
Nijuavyo kuna watu waliajiriwa serikalini kwa elimu ya msingi (darasa la saba) kuanzia mwaka 2004 hao ndio wanaotolewa.
 
yono auction mart nini?
 
Sio wote labda mabushman,maprimitive waliotokea interior wengi huwa na PhD za roho mbaya ukivaa shati mpya wananuna.
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ umenena kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…